Duuh[emoji16]Huu uzi unamuhusu witnessj sijui km nimekosea jina mkuu, naomba unisamehe bure tu, katika ule uzi wa ndoa ya meghan nilimuona kuturirika hatari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Queen aache uracist!
Hawampendi huyu dada sijui kwanini?
Harry akomae kwelikweli na mama watoto wake vinginevyo mmh
Nalendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisoma article moja wanasema Merghan ana tabia ya kummforce mumewe prince harry na kum harras nadhani mnaelewa hapa na walicompare furaha ya Harry akiwa bado hajamuoa na sasa alipomuoa wanasema kwenye events nyingi wakiwa wame attend Harry huonekana akiwa hana furaha. So ndani ya Jumba la bibi elizabeth kunawaka motoo. But things are contradicts wwngine wana sifia na kusema malkia anamkubali merghan wengine wanasema No.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]hivi unawajua waingereza kwa propaganda haha haa[emoji28][emoji1787]...Nilisoma article moja wanasema Merghan ana tabia ya kummforce mumewe prince harry na kum harras nadhani mnaelewa hapa na walicompare furaha ya Harry akiwa bado hajamuoa na sasa alipomuoa wanasema kwenye events nyingi wakiwa wame attend Harry huonekana akiwa hana furaha. So ndani ya Jumba la bibi elizabeth kunawaka motoo. But things are contradicts wwngine wana sifia na kusema malkia anamkubali merghan wengine wanasema No.
Mkuu Meghan hana shida kabisa!...waingereza wanamtafutia chokochoko tu basi!Black descendants hasa wa America huwa kila wafanyacho wanataka kumzidi mzungu...yaani hata mambo mabaya wao lazima wazidi...hii familia itakoma
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Huwezi jua labda ana kitabia cha damu zetu za gubu hahahahhahah[emoji849][emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]hivi unawajua waingereza kwa propaganda haha haa[emoji28][emoji1787]...
Harry apelekeshwe? Sasa angemuoa mpaka na kumpa mimba kama ni kimeo? or unafikiri hata Harry anaogopa kumpiga divorce akafie mbele!?..
Waingereza hawampendi Meghan kisa na sababu ana weusi damuni na anatoka nje ya uingereza! Hizi ndo tabia zao..
Harry hayuko happy kwa sababu Buckingham palace wanamnyanyasa mwanamke wake..Period
Sent using Jamii Forums mobile app
Maybe....Huwezi jua labda ana kitabia cha damu zetu za gubu hahahahhahah
Harry hapelekeshwi wala nini...Harry anampenda sana Meghan na mbaya mwanamke anafahamu hilo basi atapelekeshwa balaa ila bibi mtu,kate na william hawatakubali mambo kwenda mrama
Hebu ngoja nikwambie Numbi...Hahaha umenichekesha ila Meghan anatakiwa ajifunze maisha ya pale taratibu bila papara
Ewaah!! mutaalamu yangu iko imefika.Queen aache uracist!
Hawampendi huyu dada sijui kwanini?
Harry akomae kwelikweli na mama watoto wake vinginevyo mmh
Nalendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nikakuita.Hamna wanambagua kweli mkuu[emoji134]
Yaan anaipata pata sema Harry yuko upande wake!
Na hivi anakaribia kujifungua full kumpa stress ili mimba itoke....nyambaff zao
Kile kibibi kile[emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie napenda kuwaita wazaramo weupe ama wazaramo wa bara la ulaya.Harry hapelekeshwi wala nini...
Waingereza ni vinara wa kueneza sumu za maneno!
Wambea sana kama wazaramo[emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijutii kabis kukuita humu..Hebu ngoja nikwambie Numbi...
Wewe umeolewa mle mimba inafika mpaka miezi 7 her Majesty hataki kutoa jina la mtoto wakati ni sheria na haki yako!
Yule Kate mimba ya miezi miwili tu mtoto alikuwa kashapewa jina la kifalme, utaacha kujisikia vibaya?
Meghan alivyoona maneno yamezidi akamshauri mmewe wahamie cottage nyingine mbali na pale Buckingham....weee hilo noma lake moto hauzimiki leo[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu ngoja nikwambie Numbi...
Wewe umeolewa mle mimba inafika mpaka miezi 7 her Majesty hataki kutoa jina la mtoto wakati ni sheria na haki yako!
Yule Kate mimba ya miezi miwili tu mtoto alikuwa kashapewa jina la kifalme, utaacha kujisikia vibaya?
Meghan alivyoona maneno yamezidi akamshauri mmewe wahamie cottage nyingine mbali na pale Buckingham....weee hilo noma lake moto hauzimiki leo[emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeeh!....haki waingereza wana mdomo jamani khaa[emoji134][emoji134]Mie napenda kuwaita wazaramo weupe ama wazaramo wa bara la ulaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Kate kajishusha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]...ngoja nikuacheKapenda mwenyewe kujitumbukiza pakubwa avumilie tu.
Kate anapendwa pale sababu kajishusha sana anafata kila anachoambiwa. Ukute hata mimba anazobeba anapangiwa.
Kwa Meghan itakua ngumu kumcontrol maana keshaishi ulimwengu wetu wa kawaida huu kabla ya kufungiwa humo kwenye damu inayoitwa safi.