Kule Neymar Anacheka Kule Messi analia/anaombeleza.

Kule Neymar Anacheka Kule Messi analia/anaombeleza.

Upumbavu ni kuamini Barcelona Is Finished, walikuwepo kina Luis Suareez (wengi hamumujui), Johan Cruyf, Lazslo Kubala, Hristo stoichkov, Romario, De lima, Rivaldo, Ronaldinho na Messi na Barca haikuyumba...so acheni ushabiki wa Kinazi Barca is Still the Best Club in Europe!
Shabiki andazii, acha kukariri mpira, see BIG picture! Hao wote waliondoka huku tayari kuna warithi wao, Sasa hapa ameondoka neymar tuu dhoooofuuu bin taabani, akiondoka Messi (Osama) mrithi wake Nani Sasa hivi?? Akiondoka Suarez mrithi wake Nani?? Amestafu xavi hamna mrithi wake mpaka Leo! SEE BIG PICTURE!!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Watu wengi wanaibeza barca wanasahau kua mechi mbili za mwisho kabla ya mechi ya juzi madrid alipigwa na barca na hizo mech neimar hakucheza. Hii mechi ya juz madrid wangeooteza ingekua ya tatu mfululizo wanapoteza kitu ambacho sio rahc kwa mtani kunyanyasika hvyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wanaibeza barca wanasahau kua mechi mbili za mwisho kabla ya mechi ya juzi madrid alipigwa na barca na hizo mech neimar hakucheza. Hii mechi ya juz madrid wangeooteza ingekua ya tatu mfululizo wanapoteza kitu ambacho sio rahc kwa mtani kunyanyasika hvyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahaba hufuta kumbukumbu

Qaluu lamnakuminal musswalliin
 
a27f8b258a76d01cdf182638c9c70ab9.jpg


Qaluu lamnakuminal musswalliin
 
Upumbavu ni kuamini Barcelona Is Finished, walikuwepo kina Luis Suareez (wengi hamumujui), Johan Cruyf, Lazslo Kubala, Hristo stoichkov, Romario, De lima, Rivaldo, Ronaldinho na Messi na Barca haikuyumba...so acheni ushabiki wa Kinazi Barca is Still the Best Club in Europe!
Mkuu we will see about this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom