Kule TMA huwa wanatazamanaje siku utabiri ukienda kinyume?

Kule TMA huwa wanatazamanaje siku utabiri ukienda kinyume?

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kazi ya utabiri wa hali ya hewa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa ndio maana serikali ikaanzisha idara maalum ya utabiri wa hali ya hewa.

Ni wazi kuwa kazi ya idara hii ni kutabiri tu na wala si kutoa amri hali ya hewa iweje kwenye maeneo tofauti ya taifa letu.Mimi tu kama mwanadamu huwa napenda kila ninachosema kiwe cha kweli na siku nikihisi nimesema uongo huwa najiona vibaya nafsini mwangu.

Ndipo nikajiuliza na kule ofisi za TMA wanatazamana vipi siku utabiri wao ukienda kinyume nyume.
 
Kazi ya utabiri wa hali ya hewa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa ndio maana serikali ikaanzisha idara maalum ya utabiri wa hali ya hewa.

Ni wazi kuwa kazi ya idara hii ni kutabiri tu na wala si kutoa amri hali ya hewa iweje kwenye maeneo tofauti ya taifa letu.Mimi tu kama mwanadamu huwa napenda kila ninachosema kiwe cha kweli na siku nikihisi nimesema uongo huwa najiona vibaya nafsini mwangu.

Ndipo nikajiuliza na kule ofisi za TMA wanatazamana vipi siku utabiri wao ukienda kinyume nyume.
Kutabiri ni kitu kingine na wao Wana data zao ,na practical zao na suala la errors halikosekani kwenye data hivyo conclusion zao sio 100% possible na wanajua hivyo.....
 
Bongo hatuna advanced tech ya kujua hali ya hewa kwa hivyo ndio maana tunaita utabiri(not sure) wa hali ya hewa.
 
Sijui wamechungulia wapi wakatuambia oct kutakua na mvua za
el nino
sasa ngoja iwe tofauti tuone watakavyo maindi maana elnino ni maafa yale na wao wanataka itokee kama walivyo tabiri.
 
Kazi ya utabiri wa hali ya hewa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa ndio maana serikali ikaanzisha idara maalum ya utabiri wa hali ya hewa.

Ni wazi kuwa kazi ya idara hii ni kutabiri tu na wala si kutoa amri hali ya hewa iweje kwenye maeneo tofauti ya taifa letu.Mimi tu kama mwanadamu huwa napenda kila ninachosema kiwe cha kweli na siku nikihisi nimesema uongo huwa najiona vibaya nafsini mwangu.

Ndipo nikajiuliza na kule ofisi za TMA wanatazamana vipi siku utabiri wao ukienda kinyume nyume.
Neno utabiri maana yake nini?
 
Kazi ya utabiri wa hali ya hewa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa ndio maana serikali ikaanzisha idara maalum ya utabiri wa hali ya hewa.

Ni wazi kuwa kazi ya idara hii ni kutabiri tu na wala si kutoa amri hali ya hewa iweje kwenye maeneo tofauti ya taifa letu.Mimi tu kama mwanadamu huwa napenda kila ninachosema kiwe cha kweli na siku nikihisi nimesema uongo huwa najiona vibaya nafsini mwangu.

Ndipo nikajiuliza na kule ofisi za TMA wanatazamana vipi siku utabiri wao ukienda kinyume nyume.
huwa wanakisia, sijui kama hata shule waliendaga wale. huwa wanaangalia kwenye maccnn huo na bbc wazungu wamesema nini afu wao wanatangaza. wamekisia kuwa october kutakuwa na elninyo nyingine, ngoja tuone, miezi 2 tu imebaki.
 
Kutabiri ni kitu kingine na wao Wana data zao ,na practical zao na suala la errors halikosekani kwenye data hivyo conclusion zao sio 100% possible na wanajua hivyo.....
Ni sawa haiwezi kuwa asilimia 100 lakini inapokuwa umetabiri mvua za Elnino na ikatokea jua kali hapo kuna tatizo la wazi.
 
Nakuhakikishia wapa zaidi ya 98% sahihi kwenye utabiri wao nika kama ingekuwa mikeka katika kila mikeka 100 uliyobet 2 tu ndio ingechanika, na 98 ungevuta mpunga. Issue ni kwamba hawasemi Hali ya hewa Kwa kila kitingoji. Mara nyingi hutumia Kanda au nyanda. Unaweza sikia Kanda ya mashariki kutakiwa na mvua, unaweza isinyeshe Dar ila ikanyesha Bagamoyo au Kisalawe. Naamini hashindwi kuleta taarifa Hadi ngazi ya kata, sema jinsi ya kuziwasilisha unaweza kuwa shida Kwa muda mfu wanao PATA kwenye runinga.
 
Kazi ya utabiri wa hali ya hewa ni muhimu kwa maendeleo ya taifa ndio maana serikali ikaanzisha idara maalum ya utabiri wa hali ya hewa.

Ni wazi kuwa kazi ya idara hii ni kutabiri tu na wala si kutoa amri hali ya hewa iweje kwenye maeneo tofauti ya taifa letu.Mimi tu kama mwanadamu huwa napenda kila ninachosema kiwe cha kweli na siku nikihisi nimesema uongo huwa najiona vibaya nafsini mwangu.

Ndipo nikajiuliza na kule ofisi za TMA wanatazamana vipi siku utabiri wao ukienda kinyume nyume.
Huo atabiri huwa hawaufanyii ofisini kwahiyo hakuna shida.
 
South Afrika utabiri wa hali ya hewa ni wa ufanisi kwa 100% kinachosemwa ndiyo kinachotokea
Nilivyokuwa bongo wanachosema watabiri na kinachotokea ni ardhi na mbingu
 
Back
Top Bottom