Kuletwa kwa Mels Daalder (head of scouting) Simba sc ni kubadili mfumo wa upigaji kutoka direct way to indirect way

Kuletwa kwa Mels Daalder (head of scouting) Simba sc ni kubadili mfumo wa upigaji kutoka direct way to indirect way

Husizani rahisi, watu wana 10% zao.Simba na Yanga uhuni hauwezi kuisha,sababu watu mambo yao yanaenda kupitia hizi timu na msimu wa usajili ndio msimu wao wa kuvuna.

Si Simba,Yanga wala Azam wote hawana project endelevu. Azam alianza vizuri ila nao kaamua atumie fedha. Sasa hivi aliyebaki ni Mtibwa tu ndiye amewekeza kwenye soka la vijana na anaonekana yupo serious.
Wizi hata ulaya upo. Tumeshuhudia timu na watu wengi wakipewa adhabu ya kukiuka taratibu. Watu wanachodhani Daadler ndo anayepewa hela anasajili. Daadler siyo Try again, Mo, Imani. Trust me hiki Simba anachokifanya kwa vijana ni kikubwa zaidi ya hivyo vya kina Mtibwa na Azam.
 
Wizi hata ulaya upo. Tumeshuhudia timu na watu wengi wakipewa adhabu ya kukiuka taratibu. Watu wanachodhani Daadler ndo anayepewa hela anasajili. Daadler siyo Try again, Mo, Imani. Trust me hiki Simba anachokifanya kwa vijana ni kikubwa zaidi ya hivyo vya kina Mtibwa na Azam.
Tupo hapa JF nakupa asilimia mia hamna kitakacho fanikiwa. Ulaya kuna wizi ila sio kama huu wenu kila msimu wa usajili mnaletewa wachezaji vimeo.

Simba na Yanga project za vijana washashindwa, labda muwatumie maskauti kuwaletea wachezaji wenye vipaji kwa gharama ndogo,kuhusu soka la vijana mshashindwa.

Ukiona Simba na Yanga zina komaa na soka la vijana na kuwapa nafasi kaa ukijua club haina hela nazani unakumbuka ile Simba ya Julio iliyo chomoa zile goli tatu za Yanga,ilikuwa hoi kiuchumi na ilikuwa inabebwa na vijana, alivyo ingia Mo plus presha ya kukosa makombe misimu minne mkaachana na project.

Pili mashabiki wa bongo sio wavumilivu, tushazoea kutambiana kwenye vijiwe kipindi cha usajili, ukiwapandisha vijana kwenye timu kubwa ,hawa kuelewi na mchezaji mdogo ana hitaji mda,sizani kama kuna shabiki wa kibongo atakaye vumilia eti dogo mpaka azoee ligi.
 
Tupo hapa JF nakupa asilimia mia hamna kitakacho fanikiwa. Ulaya kuna wizi ila sio kama huu wenu kila msimu wa usajili mnaletewa wachezaji vimeo.

Simba na Yanga project za vijana washashindwa, labda muwatumie maskauti kuwaletea wachezaji wenye vipaji kwa gharama ndogo,kuhusu soka la vijana mshashindwa.

Ukiona Simba na Yanga zina komaa na soka la vijana na kuwapa nafasi kaa ukijua club haina hela nazani unakumbuka ile Simba ya Julio iliyo chomoa zile goli tatu za Yanga,ilikuwa hoi kiuchumi na ilikuwa inabebwa na vijana, alivyo ingia Mo plus presha ya kukosa makombe misimu minne mkaachana na project.

Pili mashabiki wa bongo sio wavumilivu, tushazoea kutambiana kwenye vijiwe kipindi cha usajili, ukiwapandisha vijana kwenye timu kubwa ,hawa kuelewi na mchezaji mdogo ana hitaji mda,sizani kama kuna shabiki wa kibongo atakaye vumilia eti dogo mpaka azoee ligi.
Nakwambia ninachokijua wewe unaongea kimazoea. Sina haja ya kukujibu tena maadam najua ninachokisema
 
Nakwambia ninachokijua wewe unaongea kimazoea. Sina haja ya kukujibu tena maadam najua ninachokisema
Kimazoea kipi wakati juzi umejionea uhuni uliofanyika kwa kipa au hata hili nalo unataka tubishane.

Watu waache kupiga hela wakomae na soka la vijana,ambalo halina hela.
 
Wahenga wanasema "ukimuona Kobe juu ya mti kawekwa" na ukimuona ngedere posta/ kariakoo basi ujue anafugwa.

Ipo hivi kutokana na kelele za upigaji pesa Kama Mo dewji alivyokuwa akiongea pale Simba sc.

Wajanja wa mjini wameamua kutumia indirect way pesa ipite kwa mtu Kisha ijae mahala husika na ndiyo maana akawekwa mtu kivuli (head of scouting).

Nimepitia CV zake kubwa kuliko eti ni shabiki kindaki ndaki wa Simba sc na anaipenda sana Simba kutokana na kuzungumza lugha nyingi uongozi umeona umpe kitengo Cha head of scouting.

Kwa hiyo basi hata shabiki wa Yanga makame Kama angekuwa ana rangi Nyeupe na jinsi anavyoipenda Yanga kila inaposafili na yeye Yupo basi hata makame angelamba kitengo hicho Cha head of scouting.

Hapo nadhani nimeeleweka kwa mfano maridhawa nilioutoa, kuwepo kwa Mels Daalder Simba ni kivuli tu Cha watu wachache kilichochoka kupigiwa makelele kutokana na utafunaji wa Pesa za usajili.

Wanasimba msitegemee furaha, hakuna kilicho badilika.

Nawasilisha hoja.
View attachment 2638967
Umegonga mule mule
 
TUWAPONGEZE WATANI ZETU BADALA YA KUWABEZA.
Ni klabu ya kwanza Tanzania kuweka historia ambayo itachukua miaka mingi kufikiwa au isifikiwe kabisa.
Kusajili mchezaji nje ya nchi na kuachana nae huko huko nje ya nchi sio jambo dogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndala tulieni hivyo hivyo sasa hivi utaskia engineer nae ame copy si unajua mambo mazuri simba ndiyo huwa ana yaanzisha.
Kiko wapi [emoji16]
IMG-20231105-WA0077.jpg
 
Naona matunda ya scout wetu yameanza kuonekana! [emoji2] Anateka mpaka wavuvi wa Brazil na kuja kuwasainisha mkataba wa mamilioni.

Halafu baada ya siku chache kupita, mkataba unavunjwa kwa visingizio visivyo eleweka! Halafu wahuni wanagawana hela za mwekezaji.
Kweli mkuu scout wetu wapo kazini
 
Husizani rahisi, watu wana 10% zao.Simba na Yanga uhuni hauwezi kuisha,sababu watu mambo yao yanaenda kupitia hizi timu na msimu wa usajili ndio msimu wao wa kuvuna.

Si Simba,Yanga wala Azam wote hawana project endelevu. Azam alianza vizuri ila nao kaamua atumie fedha. Sasa hivi aliyebaki ni Mtibwa tu ndiye amewekeza kwenye soka la vijana na anaonekana yupo serious.
FACT
 
Back
Top Bottom