Kuliko kufunga wasiojulikana; Serikali ingefunga na wale wasanii wanaotongoza wanafunzi ili fundisho lifike kwa jamii

Kuliko kufunga wasiojulikana; Serikali ingefunga na wale wasanii wanaotongoza wanafunzi ili fundisho lifike kwa jamii

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Huko vijijini kuna kesi za masikini kuwarubuni watoto wa shule kingono na huamuliwa ili iwe fundisho kwa jamii.

Huko vijijini kuna kesi za walimu kuwatongoza wanafunzi kwa tuhuma ya kuwakonyeza au kuchat nao tu na huamuliwa jera ili fundisho kwa jamii.

Je, Serikali haioni kuwa kuna umhimu wa kumfunga msanii mkubwa kwa tuhuma zilezile ili fundisho lifikie jamii ipasavyo?

Kwasababu kiki za zenye maudhui ya kingono zimekuwa kubwa sana kutoka kwa wasanii huko mitandaoni!

Serikali haioni kwamba hawa ndiyo wanafaa kufundishia jamii ikaelewa vizuri kwa kifungo kuliko kufunga kila siku wale wale duni?
 
Hao watu ni ngumu kuwatenganisha na rushwa
Hakimu hatafuti Rushwa ila rushwa zinamtafuta yeye sasa unategemea nini katika mazingira hayo? Yani katika utekelezaji wa majukumu yako rupia zinapenyezwa nani hapendi kupiga hela sasa 🤣🤣🤣
 
Hakimu hatafuti Rushwa ila rushwa zinamtafuta yeye sasa unategemea nini katika mazingira hayo? Yani katika utekelezaji wa majukumu yako rupia zinapenyezwa nani hapendi kupiga hela sasa 🤣🤣🤣
Ni ngumu sana hii.. don't play with it
 
Back
Top Bottom