Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi hapa nakujibu nikiwa ndani ya ndege.Ulivyo mchoyo utalalamika nauli nimetoa wapi!Haha basi hapo utakuta umemind kisa tu kaongelea kupanda ndege maana jf daah
Jamaa ana makasiriko Sana [emoji38][emoji38]Haha basi hapo utakuta umemind kisa tu kaongelea kupanda ndege maana jf daah
Nina changamoto ya kutopenda maelezo mengi.Specific and straight and to the point.Ahsante mwalimu wa Kiswahili
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji726]Hivi hapa nakujibu nikiwa ndani ya ndege.Ulivyo mchoyo utalalamika nauli nimetoa wapi!
Kwanini umesoma sasa?Nina changamoto ya kutopenda maelezo mengi.Specific and traight and to the point.
Sijaeleza kwamba nasafiri nayo.Ninaifanyia usafi kama kibarua tu.Umeridhika boss?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji726]
Kutafuta lengo la uzi wako ni nini?Nimepata mahangaiko sana.Kwanini umesoma sasa?
Tikiti (ticket)Ni tikiti au tiketi?
Sawa bossSijaeleza kwamba nasafiri nayo.Ninaifanyia usafi kama kibarua tu.Umeridhika boss?
Pole sana mkuu [emoji1787][emoji1787]Kutafuta lengo la uzi wako ni nini?Nimepata mahangaiko sana.
Mungu atanisaidia.Inachosha sana unajua?Pole sana mkuu [emoji1787][emoji1787]
Hahahahhaha kweli. Jamaa kaandika hadi ishu za hotel na mdada atakayemtafutia nyumba ya kulala ili aendelee na safari ya Tunduma kama vile Tunduma ni mbali sana toka Mbeya.Mbona umeandika maelezo mengi sana kwa jambo dogo?Ngoja nikusaidie.
..."Nilikata tiketi ya basi la Sauli kutoka Dar kwenda Mbeya.Cha kushangaza nilipofika mapema stendi sikuyaona mabasi hayo.Na badala yake nikaoneshwa magari yenye majina mengine na kuambiwa nipande ili nisafiri nayo.Swali langu:Je,mabasi ya Sauli siku hizi hayapo?"...
hahahaUsijali rangi ya paka mradi anakamata panya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi hapa nakujibu nikiwa ndani ya ndege.Ulivyo mchoyo utalalamika nauli nimetoa wapi!
TenaPole Mkuu
Sauli sikuhizi ilishachunja.
Hata ungeipata yenyewe.
Jitahidi upande ABC ,ndilo gari bora kwa sasa kwa route ya Dar-Mbeya.