Kulikoni bus za Sauli?

Kulikoni bus za Sauli?

Mbona umeandika maelezo mengi sana kwa jambo dogo?Ngoja nikusaidie.
..."Nilikata tiketi ya basi la Sauli kutoka Dar kwenda Mbeya.Cha kushangaza nilipofika mapema stendi sikuyaona mabasi hayo.Na badala yake nikaoneshwa magari yenye majina mengine na kuambiwa nipande ili nisafiri nayo.Swali langu:Je,mabasi ya Sauli siku hizi hayapo?"...
Hahahahhaha kweli. Jamaa kaandika hadi ishu za hotel na mdada atakayemtafutia nyumba ya kulala ili aendelee na safari ya Tunduma kama vile Tunduma ni mbali sana toka Mbeya.
 
Wewe ni mfano hai wa watanzania wengi wasiojua haki zao. Tiketi ya Sauli halafu unapandishwa basi lingine. Inawezekana ungepaza sauti ungesaidia wengi wenye tatizo kama hilo. Huna tofauti na wale wanaotaka katiba mpya lakini ukimuuliza unataka kitu gani kwenye katiba iliyopo kiondolewe hajui chochote..
 
Back
Top Bottom