Kulikoni bus za Sauli?

Mtu mwenye gari 7 hawezi battle na mwekezaji mwenye gari zaidi ya 40
 
Na kile kiyoyozi chao kinampiga kelele kama jenereta
AC za Kila siti hakuna.
Seat zinaminya.
Kwa kweli hizi gari zimechakaa sana.
Cha kujivunia kwao kilichobakia ni mwendo tu.
Kama umesafiri karibuni ni kwamba utakubaliana na mimi kuwa Sauli atafurukuta ila kuanzia makambako mpaka uyole unapigwa msako wa mbwa mwizi na new force anafungua geti bila shida
 
Mbona una povu Sana mkuu
 
mmekariri sana tatizo lenu na hizo gari....fika tunduma au kama upo dar nenda ofisi za abood uliza mwaisa anaenda lini tundumaau kama upo tunduma uliza mwaisa anaenda lin lin dar....hizo sauli, sijui new force au golden deer wote wachumba tuu kwa mwaisa.
 
Aaah poti poti
 
Hi story ilikuwa fupi sana. But imejaa ushamba mwingi. Unaonekana tu hujawahi panda ndege, unataka kumdanganya huyo mwanamke kuwa una pesa. Una ushamba na safari n.k

Sisi ambao hupanda ndege huwa hatuna maelezo mengi kama hayo. Sijui nilitaka kupanda ndege sijui hotel. Ukiingia google ukasearch hotels za mbeya utazikuta na madaraja yake zipo nyingi sana. You dont need to ask. Usiwe unaweka hadharani ushamba wako. Unaaibisha wanaume wengi kwa mpigo.
 
Hii ndefu Sana ngoja nikusaidie

Nilikata tiketi basi la sauli muda wa safar sikuyakuta stand nikaelekezwa gari ingne , je sauli siku hizi hazipo
 
Sauli alitakiwa awe na bus 16 ili biashara isimsumbue

8 zipaki
8 ziwe njiani, zikifika zinapumzika
Au anunue zhongtong hizo...unapambana na mtu anatumia gari ya kichina vifaa Bei rahisi mafuta haili sana unakuwa unaumia wewe hi ndo ile maswala ya unarusha bomu la dola 10000 kwenye tent ya dola 200 afu unakuta wahuni walishasepa
 
We jamaa kiazi sana.

SAULI umeitaja.
New Force Umeitaja.

Hiyo kampuni nyingine hutaki kuitaja, halafu unalalamika kama Mwanamama.
Unalalamika utafikiri umetoa mbwa vile
 
Heri wewe umegundua huu ukweli
 
Sikuwa na nia mbaya mkuu
 
Shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…