Mkuu mtoa hoja Habari,ila naona umeacha maswali mengi kuliko majibu, why ukate ticket ya Sauli na usisafiri na bus hiyo?na ninaichukulia sentence yako kutoka kwa staff wa Sauli aliyekuonyesha bus nyingine with a pich of salt, watanzania wenzangu tuthamini juhudi za wenzetu, elewa watu wanatumia gharama kubwa kujenga brand zao halafu wewe unakuja na upupu huu it's so sad mkuu, why umeenda to low ili iharibu brand ya Sauli?,bus za Sauli zipo na elewa zina royal customer's wake,pls next time do me a favor nenda kapande bus zako za ngamia, na Sauli ya Tunduma to Dar inajaza kila siku (wafanya biashara na ITs driver's)watu wanaokimbiza maisha, mara ohoo mbeya hotel ,mara mwanamke wa JF (humu hakuna prostitute)mara kurudi na ndege sasa kuna watu humu waneshakwea Cathy pacific na wapo kimya, huu ni ukenge sana