Kulikoni bus za Sauli?

Hahaha sawa mkuu
 
Au anunue zhongtong hizo...unapambana na mtu anatumia gari ya kichina vifaa Bei rahisi mafuta haili sana unakuwa unaumia wewe hi ndo ile maswala ya unarusha bomu la dola 10000 kwenye tent ya dola 200 afu unakuta wahuni walishasepa
[emoji1][emoji1]
 
Ukistaajabu Ya Sauli Kutoonekana Stendi Ya Magufuli
Utaona Ya Abood Bus Toka Mwanza ~Dar Es Salaam
Kuishiwa Mafuta Njiani Maeneo Ya Makunganya
Hilo Ni Jambo Endelevu
upo sahihi mkuu, abood ya tunduma kuisha mafuta njiani kwao ni jambo la kawaida kabisa, hili limenitokea mara tatu nikiwa abood ya tunduma.
 
upo sahihi mkuu, abood ya tunduma kuisha mafuta njiani kwao ni jambo la kawaida kabisa, hili limenitokea mara tatu nikiwa abood ya tunduma.
Hiyo Kampuni Inaweza Safari Za Dar Es Salaam ~Morogoro Tu

Ila Yaliyobaki Yanaishiwa Mafuta Njiani Kama Gauge Haionyeshi Vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…