Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
Jana niliangalia taarifa ya habari ITV, lead story ilikuwa mechi ya IPP na time gani sijui kwenye kombe la NSSF, wakarusha ligi ya zanzibar na kumalizia na mechi ya Manchester. Nilishangazwa sana na kujiuliza kulikoni? Asubuhi wana kipindi kinaitwa kuchambua vichwa vya habari magazetini, ajabu ni kuwa pamoja na kuwa ubingwa wa Simba ulikuwa all over the papers hawakugusia kabisa kuhusu simba.
Nadhani kwa leo wasingekiita kipindi hicho kupitia vichwa vya habari wakati unaacha lead story ya kwenye sports, what a thrash, what a shame ITV.
Kama waligombana kuhusu kurusha mechi live, Simba au timu nyingine yoyote for that matter ilikuwa na haki kukataa, ukionesha mechi live watu wanapungua kuingia uwanjani as a result of which mapato nayo yanapungua. Mechi hizo zinakuwa na wadhamini ambao wanilipa ITV wakati timu hazipati kitu.
Badala ya kuwagomea kuwatangaza, busara ingehitaji ITV na timu za ligi wakae na kuona ni jinsi gani wanaweza kutangaza mechi za ligi ili kuleta faida kwa timu za ligi pamoja na kituo na sio kuigomea timu.
NADHANI HAPO KWENYE NYEKUNDU NDIO UMEIBALANCE HII HABARI, KWA SABABU ASILIMIA KUBWA WALIKUWA UPANDE MMOJA TU! HAYA NI MAMBO YA KIBIASHARA ZAIDI NA TATIZO KUBWA KWA VILABU VYETU NI VIONGOZI AMBAO WAKO KIMASLAHI YAO ZAIDI,
kutatua tatizo ni kwa pande zote mbili kukaa na kuongea Biashara