Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 650
- 1,016
Kwa uelewa wangu Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji na anapaswa kutumia muda mwingi Ofisini na Wataalam.
Lakini naona tofauti kwa Katibu Mkuu Kiongozi wa SMZ Mhandisi Zuwena amekuwa busy kwenye mizungukoni ya Ziara za Mhe. Dkt Mwinyi, Rais wa SMZ. Je, majukumu ya Ukatibu Mkuu Kiongozi yamepungua?.
Pichani ni Mhandisi Zuwena akiwa pembeni ya Mhe. Dkt Mwinyi kwenye ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo
Lakini naona tofauti kwa Katibu Mkuu Kiongozi wa SMZ Mhandisi Zuwena amekuwa busy kwenye mizungukoni ya Ziara za Mhe. Dkt Mwinyi, Rais wa SMZ. Je, majukumu ya Ukatibu Mkuu Kiongozi yamepungua?.
Pichani ni Mhandisi Zuwena akiwa pembeni ya Mhe. Dkt Mwinyi kwenye ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo