Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Ubepari katika game ndio unaowaangusha wasanii kuna majitu yanataka kunyenyekewa na kuwanyonya wasanii kama hutaki kunyonywa unatupwa mbali ukafie mbele
Wakiamua Fulani awe hit ya kila kona inawezekana ukizingua unapigwa chini ..kila sekta kuna magianta lazima uwatii ili uweze kwenda sawa sio bongo tyu hata huko mambele..
Wakiamuua usitoke hutoki kwelia hata ukitumia ndumba utabaki kusikika msanii mkali lakini hamna lolote ..
Wakiamua Fulani awe hit ya kila kona inawezekana ukizingua unapigwa chini ..kila sekta kuna magianta lazima uwatii ili uweze kwenda sawa sio bongo tyu hata huko mambele..
Wakiamuua usitoke hutoki kwelia hata ukitumia ndumba utabaki kusikika msanii mkali lakini hamna lolote ..