Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kwani dhima ya uongozi wa jf kuweka majukwaa yatakayobeba maudhui tofauti tofauti ilikuwa ipi?Uwez poteza muda wako kwa kuongelea masuala ya mavoko kafanya nn katika maisha yake una mambo mengi sana ya kudickasi ikiwemo kujikwamua katika janga ili LA umaskin na mambo kbao sio kama hili unalolileta
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilinganishe upumbavu,ulichokileta ni ujinga mtupu.Ndugu yang watu hawafanikiwi kwa kujitathimi wao wenyewe tu lazima kuwe na mtu wa mfano kwake ili awe hapo alipo.... Pia hauwezi kukunja ndita kila wakati unahitaji muda kutulia na kujichanganya na watu wengine..... Sidhani hii stori itakua tofauti na zile unazopiga kijiweni kwako au na rafiki zako.... Kuna vitu tu lazima vitokee ili vipotezee muda........
Ukiona chizi kavua nguo usimkimbize...