Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Kwani dhima ya uongozi wa jf kuweka majukwaa yatakayobeba maudhui tofauti tofauti ilikuwa ipi?Uwez poteza muda wako kwa kuongelea masuala ya mavoko kafanya nn katika maisha yake una mambo mengi sana ya kudickasi ikiwemo kujikwamua katika janga ili LA umaskin na mambo kbao sio kama hili unalolileta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati tunatakiwa tuwe tunaficha ujuaji usiokuwa na msingi. Kama wewe unapenda kujadili mambo ya uchumi na jinsi ya kujikwamua kiuchumi, majukwaa hisika yapo, nenda huko. Umefuata nini huku?