Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tumefungiwa,hatujawa huru,nafikir tcra hawakutaka hotuba ya Lissu wakati tayar hotuba ya MSH ishapikwaKuelekea saa kumi na mbili leo, mitandao ya Twitter na YouTube imekumbwa na kwikwi.
Haya mambo ya kuchaguliana kipi tusikilize au kipi tusione hali tumenunua bando na kulipia tozo zenu zote yanatoka wapi?
Ama kwa hakika tunastahili maelezo kwa kuingilia starehe zetu.
Ulikuwa unataka Lissu wangapiyaani Lissu mmoja ndo wakusababisha nchi ifunge mitandao. hii nchi au kituko