Kulikoni mitandao ya Twitter na YouTube kutokuwa hewani?

Bado tumefungiwa,hatujawa huru,nafikir tcra hawakutaka hotuba ya Lissu wakati tayar hotuba ya MSH ishapikwa
 
Kufunga mitandao kunaweza leta loss kwa baadhi ya watu....

Wanasiasa ni watu wa hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…