Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Nini, sijui chochoteKwani hujui mbaka leo kuwa binti ni ..........
Nini, sijui chochote
Sasa wewe si ungesema engekuwa anajua hii thread isingekuwepoKwani hujui mbaka leo kuwa binti ni ..........
kuna siku ruby alikuja ofisini kwangu kwa mazungumzo ya kibiashara... the way nilivyomuona hakuwa sawa yule binti.Nimesikiliza East Africa Breakfast ya jumapili Leo, East Africa Radio mtangazaji anamwonya Ruby bado tunakupenda na tunakuhitaji, anamalizia kwa kusema chondechonde. Hakutaka kuweka mambo hadharani Redioni.
Je Ruby kakumbwa na nini jamani?
Yeah niliwah kumiona kwenye maeneo flan,in short ana over reaction na panic za hovyohovyo,sijui ni ngada au stressNimesikiliza East Africa Breakfast ya jumapili Leo, East Africa Radio mtangazaji anamwonya Ruby bado tunakupenda na tunakuhitaji, anamalizia kwa kusema chondechonde. Hakutaka kuweka mambo hadharani Redioni.
Je Ruby kakumbwa na nini jamani?