Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Nimesikiliza East Africa Breakfast ya jumapili Leo, East Africa Radio mtangazaji anamwonya Ruby bado tunakupenda na tunakuhitaji, anamalizia kwa kusema chondechonde. Hakutaka kuweka mambo hadharani Redioni.
Je Ruby kakumbwa na nini jamani?
Je Ruby kakumbwa na nini jamani?