Ruge!!!!!!Nimesikiliza East Africa Breakfast ya jumapili Leo, East Africa Radio mtangazaji anamwonya Ruby bado tunakupenda na tunakuhitaji, anamalizia kwa kusema chondechonde. Hakutaka kuweka mambo hadharani Redioni.
Je Ruby kakumbwa na nini jamani?
Naona wengi wanasema ngada, mi nmeanza kuamini pia kulingana na mtangazaji alivyoongea.Acheni kudandia treni kwa mbele.
JF kila mtu anajifanya mshauri-rika wa tatizo ambalo hata hamlijui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, usiseme hivyo.kama dogo anatumia ngada basi RIP
Na angefanya hivyo kwa kusema wazi nisingekuja na huu Uzi humu. Kanikera kweli!Mkuu fundi bishoo tatizo la taifa hili ndio hilo kaka, kitu kidogo tu siasa. Sasa wewe Radio inasikilizwa na watu wa rika zote na unamzungumzia msanii kwa nini usiweke wazi badala ya kupiga blah blah unaongea kwa mafumbo ili iweje? kama umeamua kuongea ukweli ongea tu ama laa basi nyamaza? Halafu wanakuja watu wanawapa rank hawa watangazaji uchwara.
Huyu kamfanyajeRuge!!!!!!
sawa mkuu sitosema tenaHapana, usiseme hivyo.
Hivi inakuaje haya madawa unawaona kabisa wenzako wakipukutika alafu na wewe unaenda kujaribu?Moja kati ya vitoto vya kike vyenye sauti nzuri na umbo la kike haswa!
Bahati mbaya sana Madawa ya Kulevya yanampukutusha!
mnhhh..Ruby kapozwa na stress, Nandy kampeleka putaaa.
Washkaji wakamwonjesha sukari, nae akalamba.
Akataka tena na tenaaa.
Sasa nasikia anapigwa mpk threesome
Alaaa...hala hala tu rich mavoko na yeye asije akakimbilia kula ngada maana nasikia ana madai ya kudhulumiwa na wasafi.
Ukifahamu nitag...😂
Ni kama ilivyo Ngono, unaona kabisa watu wanakata kamba kwa UKIMWI, lakini stills watu wanapiga nyabe mtelezo!Hivi inakuaje haya madawa unawaona kabisa wenzako wakipukutika alafu na wewe unaenda kujaribu?
Kumbe!nilikuwa mjini mwezi wa saba nikakaona haka katoto kamepanga moja ya nyumba mtaani kwangu hakana dalili za mnachoongea