Nimesoma gazeti moja leo huyo huyo tendwa mwenyewe anakiri kuwa naye anahusika na vurugu za uandikishaji huko Pemba na Unguja. basi hao polisi waanze kumchukulia yeye hatua
Kuweza kupata majibu mazuri ya hoja tusianze kuwa biased, Tendwa akasema viongozi wa vyama vya siasa, kama CCM ni chama cha siasa basi wakifanya vurugu wanapaswa kushughurikiwa, sioni kama amekosea hapa.
Wana JF nisaidieni, Mimi ninavyo fahamu CCM ndo inasababisha vurugu za kisiasa kwenye chaguzi, je askari wataweza kupambana na CCM kweli kama wanavyopambana na vyama vingine?
Kuweza kupata majibu mazuri ya hoja tusianze kuwa biased, Tendwa akasema viongozi wa vyama vya siasa, kama CCM ni chama cha siasa basi wakifanya vurugu wanapaswa kushughurikiwa, sioni kama amekosea hapa.