Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Nilikuwa nasikiliza vyombo vya habari, nikamsikia msajili wa vyama vya siasa mzee Tendwa akiwaambia askari polisi kuwa wawachukulie hatua za kisheria viongozi wa vyama vya siasa watakaosababisha vurugu kwenye chaguzi zinazokuja.
Wana JF nisaidieni, Mimi ninavyo fahamu CCM ndo inasababisha vurugu za kisiasa kwenye chaguzi, je askari wataweza kupambana na CCM kweli kama wanavyopambana na vyama vingine?
Wana JF nisaidieni, Mimi ninavyo fahamu CCM ndo inasababisha vurugu za kisiasa kwenye chaguzi, je askari wataweza kupambana na CCM kweli kama wanavyopambana na vyama vingine?