Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Mnasoma sana hadi wake zenu wanavuka bodaAngalia mikoa inayofanya vibaya kwenye matokeo ya Msingi na Kidato cha nne ndiyo inaongoza kutoa Wachezaji na Wasanii.
Wacheza mpira wengi ni watu ambao shule hawakuwa vizuri .
Umeambiwa wachezaji wa kichaga au timu ?? Mbona uelewa mdogoMpira wa TZ una faida kiasi gani kiuchimi mpaka mchaga a risk biashara zake na kwenda kucheza mpira?..Tizama opportunity cost hapo..
Kwa TZ mpira hauna faida kiasi hicho kiuchumi mpaka watu waache kufanya biashara zao waende kuchezea vitimu,Sijui Ruvu shooting,majimaji n.k.Ili iweje labda?..Unacheza mprira miaka 10 hakuna chochote cha maana unachopata.
Mpira chezeni nyie wazaramo bana.
Nimekuwepo huko watu walikuwa wanajaa huko viwanjani kufuatilia ligi daraja la kwanza tena wamejaa haswa ila viongozi wa vyama vya soka huko wanakula mishahara bure na kulalaMkuu hii mikoa sio lazima kuwe na timu, ila the best managers, na viongoz wa mpira ndio wanakotokea...
Ndio mikoa inayotoa wasomi, watoto wakitoka shulen jion wanaenda tuitions, mafundisho ya masakraments ya kanisa..
Hata sisi bukoba huku "kagera sugar" tunafanya kufosi tu. .
Rejea nchi kama islaeli, usa, china, japan n.k
Ni nchi zilizo base sana kwenye taaluma, so wamekubali wao kuburudushwa ila sio wao kuburudishwa
Kilimanjaro heroes ila haikupandaHivi nimesokia timu inaitwa KCMC nikadhani ni ya Moshi
Madau, alafu mikoa mingine ambayo timu zao zimepanda, figisu figisu na uswaili ikiwemo mizengwe ilikuwa mingi sana....Nimekuwepo huko watu walikuwa wanajaa huko viwanjani kufuatilia ligi daraja la kwanza tena wamejaa haswa ila viongozi wa vyama vya soka huko wanakula mishahara bure na kulala
Watu huko wangependa kila weekend kupata burudani ila ndio hivyo sapoti ya madon na viongozi ni ndogo
Israel wana ligi yao ya mpira na watu wanajazana viwanjani ,maccabi tel Aviv ,maccabi Haifa nk nk ,China wana ligi ya mpira ila national team yao mbovu ila ligi ipo
Je mashabiki huko hawapendi na hawatamani ???kwanini hao viongozi wasitoe mipango ,mikakati ili vilabu vya Kilimanjaro heroes ma kitayosce zipande ,?kama inatoa viongozi wzr
nalizungumza hili kama mtu mwenye uzoefu na ligi kuu ya vodacom hapa nchini.ni hiyari yako kuukubari au kubisha kauli yangu.Hebu tuambie Shinyanga wana timu VPL nadhani. Wameshatengeneza mkwanja kiasi gani hadi sasa? Kuna economic impact yoyote kwa uchumi wa Shinyanga kutokana na kuwepo hiyo timu? Maana Dar kuna Simba na Yanga lakini hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kulogana kila wakikutana na kuweka kambi Pemba ili wajizindike
Ahsante sanaKilimanjaro heroes ila haikupanda
Parason,AFC,jkt oljoro,meru warriors,madini.Pepsi hzo ndo timu maarufu za mkoa wa arushaHabarini wakuu. Wakati kukiwa na shamra shamra za timu toka mikoa mbalimbali kupanda daraja kwenda ligi kuu upande wa kanda ya kaskazini bado hakuna matumaini ya kupata timu ligi kuu.
Ni misimu kadhaa sasa hakuna timu yoyote inayowakilisha hii mikoa hivo kuwakosesha burudani wapenda soka wa upande huu wa nchi.
Ina maana hawa viongoz wa hii mikoa hawaoni faida za kiuchumi zinazoletwa na ligi?
Tatizo ni nini maana Moshi na Arusha zina viwanja vizuri tu???
Uwanja wa Amri Abeid Arusha
Uwanja wa Ushirika moshi
Mkuu hii mikoa sio lazima kuwe na timu, ila the best managers, na viongoz wa mpira ndio wanakotokea...
Ndio mikoa inayotoa wasomi, watoto wakitoka shulen jion wanaenda tuitions, mafundisho ya masakraments ya kanisa..
Hata sisi bukoba huku "kagera sugar" tunafanya kufosi tu. .
Rejea nchi kama islaeli, usa, china, japan n.k
Ni nchi zilizo base sana kwenye taaluma, so wamekubali wao kuburudushwa ila sio wao kuburudishwa
Mkuu hii mikoa sio lazima kuwe na timu, ila the best managers, na viongoz wa mpira ndio wanakotokea...
Ndio mikoa inayotoa wasomi, watoto wakitoka shulen jion wanaenda tuitions, mafundisho ya masakraments ya kanisa..
Hata sisi bukoba huku "kagera sugar" tunafanya kufosi tu. .
Rejea nchi kama islaeli, usa, china, japan n.k
Ni nchi zilizo base sana kwenye taaluma, so wamekubali wao kuburudushwa ila sio wao kuburudishwa
Mkuu ukilinganisha hivyo, pia biashara zetu huwezi fananisha biashara za huko, unakoona kunalipa kimpira. Ila yote kwa yote Siamini, kuwa wachaga wote ni wafanya biashara, wengine ni walevi mbwa tu.Mpira wa TZ una faida kiasi gani kiuchimi mpaka mchaga a risk biashara zake na kwenda kucheza mpira?..Tizama opportunity cost hapo..
Kwa TZ mpira hauna faida kiasi hicho kiuchumi mpaka watu waache kufanya biashara zao waende kuchezea vitimu,Sijui Ruvu shooting,majimaji n.k.Ili iweje labda?..Unacheza mprira miaka 10 hakuna chochote cha maana unachopata.
Mpira chezeni nyie wazaramo bana.
Ila ndugu yangu michezo pia hufundishwa mashuleni, au hujui michezo inahimizwa sana hao hao wasomi, Michezo pia ni biashara na ni kazi.Angalia mikoa inayofanya vibaya kwenye matokeo ya Msingi na Kidato cha nne ndiyo inaongoza kutoa Wachezaji na Wasanii.
Wacheza mpira wengi ni watu ambao shule hawakuwa vizuri .