Habarini wakuu. Wakati kukiwa na shamra shamra za timu toka mikoa mbalimbali kupanda daraja kwenda ligi kuu upande wa kanda ya kaskazini bado hakuna matumaini ya kupata timu ligi kuu.
Ni misimu kadhaa sasa hakuna timu yoyote inayowakilisha hii mikoa hivo kuwakosesha burudani wapenda soka wa upande huu wa nchi.
Ina maana hawa viongoz wa hii mikoa hawaoni faida za kiuchumi zinazoletwa na ligi?
Tatizo ni nini maana Moshi na Arusha zina viwanja vizuri tu???
Uwanja wa Amri Abeid Arusha
Uwanja wa Ushirika moshi