Tanesco hii msg yenu inakera nikiiona tuNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Unaweza kutuma taarifa inbox au unapopenda wewe lakini bila taarifa kamili utahudumiwaje.JmTanesco hii msg yenu inakera nikiiona tu
Kwanini tunapopigia namba za dharula hawapokei hapa nawazungumzia Tanesco kurasiniNdugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Habari zenu...
Siku za hivi karibuni kumeamza kuwa na tatizo la umeme wa Tanesco kulatika katika ktk baadhi ya maeneo ya mkoa wa Dar. Nilianza kusahau ukatokaji wa umeme kipindi fulani.
kulikoni? Ni coincidence au ndio tunaanza setiwa kununua majenereta?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbung'o bana mna tabu sana.Ni struggle ya kuweka legacy. Genge linajaribu kumtikisa mama Sasha,
watafyekwa wote,, we subiri tu.
Hatuna haraka, hadi kufika december nchi itakuwa imetulia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kamrudishe basi! maana naona inawauma sana mama asivyofagilia ukatili. Enzi zenu za ukatili ndo zimeshapita mzee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mbung'o bana mna tabu sana.
huyu anayebembeleza wafanya biashara ndio wakusikilizwa na tanesco wazee wa ngumu!!!!
wewe nyanyua kiuno uone watu watakavyo kitengua na mama yako asijue imekuwaje.Kamrudishe basi! maana naona inawauma sana mama asivyofagilia ukatili. Enzi zenu za ukatili ndo zimeshapita mzee.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kibaha yote, mimi nitaongelea maeneo niliyoko ya kwa mfupa kila siku umeme unakatika na kurudi saa tatu usiku. Tangazeni mgawo, msiogope kutumbuliwa.Je ni Kibaha sehemu gani na namba yako ya simu tafadhali.Jm
Watu wenye stress za maisha mna tabu sana. Sasa hapa baba yangu anahusianaje?Kumbe zilikuwa juhudi za babayako
Umeona eeeeh.Sasa nchi iko chini ya wanyang'anyiHii ni nchi ya kuhama tuuuu
Stress za maisha ninazo kwasababu bado naishiWatu wenye stress za maisha mna tabu sana. Sasa hapa baba yangu anahusianaje?
Baba yangu aliye kaburini kajipumzikia amekujaje hapa ndugu yangu? Huwezi kabisa kutumia busara hata hiyo ndogo uliyo nayo? Kama wewe ni mchambaji mzuri kwanini usinichambe mimi mwenyewe niliyeandika hiyo comment?
Anyway, nikutakie jumapili njema ndugu yangu, Mungu akubariki akuongezee hekima na busara katika maisha yako