Kulikoni vyombo vya habari kuwapa viongozi wa CHADEMA nafasi yani airtime kubwa hivi kipindi hiki?

Kulikoni vyombo vya habari kuwapa viongozi wa CHADEMA nafasi yani airtime kubwa hivi kipindi hiki?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Imekuaje vyombo vya habari ambavyo vilikuwa havirushi habari za viongozi wakubwa wa CHADEMA sasa ghafla vimekuwa havikauki kuwahoji viongozi waandamazi wa CHADEMA na havikosekani katika press conferences za Lissu, Mbowe, Mnyika, Lema na viongozi wengine wengi wa CHADEMA?!

Miezi kadhaa hapo nyuma Lissu, Mnyika, Heche, Wenje au Lema walikuwa wakiitisha mkutano na waandishi wa habari unaziona microphones mbili au tatu, labda moja ya Jambo TV, MwanaHalisi na nyingine ya CHADEMA Media ila sasa hivi mambo ni tofauti kabisa, mic🎤 zinajaa kwenye podium hadi zinamwagika! Hadi online media za udaku na mpira zinapepea na habari za CHADEMA!

Huku ni kuongezeka kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini au wenyewe "The powers that be" ndio wanapenda hivi?!
 
Hawapendi sema Chadema kuna madini ambayo watu hawatakiwi kuyakosa, kuna nzi wa kijani kazi yao ni kufuata mavi
 
Soon watapigwa PINGU...pamoja na show off huko central macho ya Taifa yapo DISIMU
 
Imekuaje vyombo vya habari ambavyo vilikuwa havirushi habari za viongozi wakubwa wa CHADEMA sasa ghafla vimekuwa havikauki kuwahoji viongozi waandamazi wa CHADEMA na havikosekani katika press conferences za Lissu, Mbowe, Mnyika, Lema na viongozi wengine wengi wa CHADEMA?!

Miezi kadhaa hapo nyuma Lissu, Mnyika, Heche, Wenje au Lema walikuwa wakiitisha mkutano na waandishi wa habari unaziona microphones mbili au tatu, labda moja ya Jambo TV na nyingine ya CHADEMA Media ila sasa hivi mambo ni tofauti kabisa, mic🎤 zinajaa kwenye podium hadi zinamwagika! Hadi online media za udaku na mpira zinapepea na habari za CHADEMA!

Huku ni kuongezeka kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini au wenyewe "The powers that be" ndio wanapenda hivi?!
Eti mfumo unadhani hii otaleta mpasukuko in favour of ccm
Hizo ndo Akili za masterminder wa tiss
 
waziri wa habari ni Jerry silaa hapendi uchawa jamaa ni mtu poa sana hanaga mambo ya kuzibiana na kufanyiana mtima nyongo..yuko tofauti kabisa na yule Nape aliyefanya vyombo vya habari viwe machawa kwa ajili ya mapambio kwa ccm,serikali na rais la sivyo unafungiwa au kupigwa faini kubwa.. mbaya zaidi hata hawakuwa jipya la maana ila tangu Jerry silaa ameingia hapo zile script za magazeti 10 kuwa na kichwa kimoja cha habari zimepungua
 
Imekuaje vyombo vya habari ambavyo vilikuwa havirushi habari za viongozi wakubwa wa CHADEMA sasa ghafla vimekuwa havikauki kuwahoji viongozi waandamazi wa CHADEMA na havikosekani katika press conferences za Lissu, Mbowe, Mnyika, Lema na viongozi wengine wengi wa CHADEMA?!

Miezi kadhaa hapo nyuma Lissu, Mnyika, Heche, Wenje au Lema walikuwa wakiitisha mkutano na waandishi wa habari unaziona microphones mbili au tatu, labda moja ya Jambo TV na nyingine ya CHADEMA Media ila sasa hivi mambo ni tofauti kabisa, mic🎤 zinajaa kwenye podium hadi zinamwagika! Hadi online media za udaku na mpira zinapepea na habari za CHADEMA!

Huku ni kuongezeka kwa uhuru wa vyombo vya habari nchini au wenyewe "The powers that be" ndio wanapenda hivi?!

Wamepata Baraka toka juu (In the Name of the President) ili wamalizane wao kwa wao. Ila inawezekana huu mpango wao nwisho wa siku ukaisaidia zaidi Chadema.
 
C wamesikia yule mzee anatolewa hata asipotaka kitu ambacho vyombo vingi vinaunga mkono
 
Back
Top Bottom