Kulikoni Watanzania kushambulia DP World?

Huku zenji mwarabu alivyo na dharau hakai foleni yoyote.
Dar watapigwa ngumi, sidhani wana akili ya watumwa kama huku ya kumpisha bwana mkubwa.
 
Kwani utadaiwa wewe?
Haya ni self-asking questions!!
 
Sahivi kwenye page ya DP world ya Instagram hapatoshi, Watanzania wanaporomosha matusi hatari kwenye page za Waarabu.

DP world kazi wanayo.

View attachment 2660844View attachment 2660845
Akili za kibongo ndizo hizi, zimejaa hasira dhidi ya yale waliyotendewa mababu zetu zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Zimejikita kwenye visasi vya kabla hata hawajazaliwa, poor african minds.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…