Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Usione kila tunda ukadhani lafaa kuliwa; mengine ni sumu.Ukiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usione kila tunda ukadhani lafaa kuliwa; mengine ni sumu.Ukiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
huo ni uwekezaji si biashara ya genge la nyanya .DP World wamekataliwa, si waache kwani lazima??
Hatuwatakiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ngombe ni kitu ganiNgombe
Unaweza ukawa una nyoka pia mpendwa Bibi.Ukiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Pigo kubwa kwa Faizafoxy and co.!!Sahivi kwenye page ya DP world ya Instagram hapatoshi, Watanzania wanaporomosha matusi hatari kwenye page za Waarabu.
DP world kazi wanayo.
View attachment 2660844View attachment 2660845
Mti pia ukipopolewa na mawe unaweza kuwa na nyokaUkiona mti unapopolewa ujuwe una matunda.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Hiyo ni methali ("proverb) kijana.Unaweza ukawa una nyoka pia mpendwa Bibi.
Aliye zoea kunyonga kuchinja haweziAkili za kibongo ndizo hizi, zimejaa hasira dhidi ya yale waliyotendewa mababu zetu zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Zimejikita kwenye visasi vya kabla hata hawajazaliwa, poor african minds.
Usiandikie mate Nenda kwa wamasaikwa ushahidi upi?bro hebu fanya utafiti utaona ukweli wa dpworld ni kampuni yenye uwezo mkubwa mno
Hahaha, nashukuru nilisomea mambo ya mawasiliano. Pata darsa dogo. Kuhusu mawadiliano:Pigo kubwa kwa Faizafoxy and co.!!
Wangepokelewa Uingereza na kupewa bandari waiendeshe huko?Hao waarabu tunapata taarfa zao uku nje ni watu wa fujo kuharibu nchi za watu
Mambo huanziaga humuhumu mitandaoni mkuu.hao wanaitwaga keyboard worrior mikwara mingi kumbe watupu.