Rose show some appreciation to our customs puh leez... loll kama joto ata usipovaa nguo...bado utalipata joto tuu...mnh ina maana kule saudi arabia wanakoshinda na mabaibui mambo yao ndio moto???msitake kutulazimisha na hili joto kuvaa nguo zinazotufanya tuive ndani kwa ndani...
mie hiii topik naona uzushi tuu....
Ukweli unauma teh teh teh...................utamwambiaje ukweli mtu usiyemjua,wee vipi???,,,kawaambie dada na mama zako huko!
Noname baadhi ya watu wanapenda sana kuiga ila badhi ya wanawake wamezidi ona justification zao sasa ...eti joto. What is joto katika kukaa uchi? Kwenye maziwa/nyoyo kuna joto gani jama mpaka yaachwe wazi?Rose show some appreciation to our customs puh leez... loll kama joto ata usipovaa nguo...bado utalipata joto tuu...
Unaona sasa Fidel80, halafu mtu mwingine hapa anauliza wanawake wa zamani walikuwaje, walikuwa wanishije, wanavaaje na leo wanafanya nini tofauti, makuti na magamba yameachwa lini, it doesnt hold water ili kujustify ukaaji uchi wa sehemu muhimu za mwanamkeKuna sehemu nilipita nikasikia masister duu wanaponda kuvaa nguo za vitenge niliwashangaa mikaendela na hamsini zangu
I just put thanks there DW, maana kuna watu wanaelewa lakini wanawapotosha wengine, dhamira zenu zitaulizwa siku mojaYaani ubeijing umewakaa vichwani hadi mnamiss the whole point. No disrespect intended lakini kama ukitumia common sense katika kusoma kile ambacho Mkuu Makoyo ameandika utaelewa anataka kuongea kitu gani.
Tuepushe jazba na matusi sio mahali pake hapa jamani. Tunajenga hoja tu ukikwazika unaweza kuhamia jukwaa jingine ukatuliza mzukautamwambiaje ukweli mtu usiyemjua,wee vipi???,,,kawaambie dada na mama zako huko!
Wewe wasema,dada charity elewa kwamba huyu aliyeleta hii mada ni kijana,inwezekana hajaoa kwa hiyo haja anamalizia kwa hao anaowasema.dunia ya leo huwezi kupata mwanamke wa fasta mwenye maadili.cha msingi mkubalie kwamba tatizo hilo lipo na mshauri wanawake wenye joto wapo kibao na ni wengi kuliko hao wakaa uchi,atafute wake afuate taratibu aoe amtunze mkewe kwa maadili yote na hilo tatizo hataliona tena kwenye maisha yake.
Tuepushe jazba na matusi sio mahali pake hapa jamani. Tunajenga hoja tu ukikwazika unaweza kuhamia jukwaa jingine ukatuliza mzuka
Uonavyo wewe Momdoes it mean unawazungumzia pia bibi, mama, dada, na shangazi zako pia?
Hivi umetumia hata dk 1 kufikiria kile anachokusudia makoyo au umekurupuka tu. Nakukubali sana mom katika comments zako lakini hapa naona unataka kuchemka.lakini hata wewe ligha uliyotumia na kuchukua wanawake kwa ujumla does it mean unawazungumzia pia bibi, mama, dada, na shangazi zako pia?
Uonavyo wewe Mom
Hivi umetumia hata dk 1 kufikiria kile anachokusudia makoyo au umekurupuka tu. Nakukubali sana mom katika comments zako lakini hapa naona unataka kuchemka.
Dah kazi kweli kweli, okey nimekuelewa,ingekua vizuri zaidi ukiamua kumfuata yule unaemuona yu uchi direct
Nyie wabeijing mlioko hapa JF si ndio mnashadidia ndoa ya mke mmoja na mme mmoja na pia mnatarajia wanaume wenu wawe waaminifu. Sasa mnapotetea haya mavazi ya ajabu ajabu eti kwa sababu mababu zetu walivaa majani na kuacha matiti nje naona mnasahau kwamba ni hao hao mababu walikuwa na wanawake zaidi hata ya kumi, kwa hiyo mnataka kusema kwamba waume zenu wachukue wanawake hata 20 basi eeh kwa sababu mababu zetu walikuwa na wake wengi after all kama haya mavazi yanavaliwa kufuata tamaduni zetu then tuache kuwa wanafiki nyie vaeni hivyo na hao waume zenu waruhusuni wachukue wanawake wenzenu wengi tu. Ni lazima mfikie mahali muelewe ni kwa nini wanaume wanalalamikia haya mavazi. Kwa kifupi ni kwamba yanawaumiza wanaume and it is not fair at all na hii ni kwa faida yetu wote wanaume na wanawake. Msipotumia vzuri vichwa vyenu ubeijing wenu utaimaliza hii jamii.
Ni kweli hujakurupuka ila UMEKURUPUSHWA, wewe unataka ikaaje iondoe udhalilishaji? Lakini hoja ya msingi umeiona? Au ? Je ina mashiko au haina?wala cjakurupuka, je ningeanzisha topic hapa nikaipa heading WANAUME WOTE NI MALAYA mngenielewa? Wanawake siku hizi wamepooza, wabaridi hawana ladha tena hii sentence imakaa kiudhalilishaji kwa wanawake
joja nimeielewa vizuri lugha ulotumia tu? ebu imagn mfano ungeuliza "kulikoni wanawake na mavazi haya?" then ndani ukaeleza yale yalokichwani mwako? bt haya ni mawazo yangu tu! nimesoma topic yako na comments zote nimeshtuka ulivyosema roselyne aache matusi hali nawe umetumia ligha hiyohiyo!Ni kweli hujakurupuka ila UMEKURUPUSHWA, wewe unataka ikaaje iondoe udhalilishaji? Lakini hoja ya msingi umeiona? Au ? Je ina mashiko au haina?
Duh! Kama hao waliokaa, achana na huyo anayepita jukwaani, halafu kwa mbali hapo kuna mwanaume ana dread amevaa shati jeupe yaaani huyo akirudi home kwake ameshabemendwa longtime hana upupu tena.Mokoyo kama hawa waliojipanga hapa, wanapata baridi eeeeeeeeh maana mapaja nje nje, ukiwa na ............ za kuku unaweza kojoa uhai hadharani.
Hivi hadi leo hii hujajua tu kwamba wanawake ni wazuri zaidi kwenye communication skills kuliko wanaume, at least ndivyo inavyodhaniwa japokuwa cna ushahidi wa haya. Btw kumbe point ushaipata so y r fussing about jina la mada after all hakuna sehemu hapo kwenye mada inayosema wanawake wote. Read btn words mama.joja nimeielewa vizuri lugha ulotumia tu? ebu imagn mfano ungeuliza "kulikoni wanawake na mavazi haya?" then ndani ukaeleza yale yalokichwani mwako? bt haya ni mawazo yangu tu! nimesoma topic yako na comments zote nimeshtuka ulivyosema roselyne aache matusi hali nawe umetumia ligha hiyohiyo!
sishangai kupata comment kama hii kutoka kwako maana we ndo mbeijing namba 1 hapa JF.Taratibu..hapo kwenye bold mhhh..how about wanaume nao wakiitwa nyie Guantano Bay au Tora Bora?....haipendezi namna hiyo kuwakejeli wanawake ...... huo msemo haujengi badala yake unafanya ishu unayoileta ionekane y akipuuzi isiyostahili kujadiliwa kwa kina.