According to your comment, hujui unachoongea value addition kwenye mahindi ni kitu kingne kabisa wala sio kuuza unga kama unavyofikiria.Ni muda muafaka kwa wakulima kuungana na kuangalia njia mbadala za kuongeza thamani ya zao husika (add value) wakati wa mavuno. Sio lazima wauze mahindi. Wanaweza kusaga na kuuza unga au kukoboa na kuyauza kama kiungo cha Makande. Watanzania tuache kulialia.
Naunga mkono hoja!The problem is, in TZ ,KULIMA SIO BIASHARA. Ni mazoezi tu.
now iko 20000Nasikia bei ya Mahindi huko Sumbawanga ni 15,000 mpaka 18,000 kwa gunia.
Waanzishe vijiwe vya mahindi ya kuchoma na kumchesha huku Dar, muhindi choma mmoja laini na ulioiva vizuri unauza hadi 500/=, sasa kwanini usubiri kusaga unga na kuuza kilo buku?