Vivax
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 520
- 184
Wakulima wa Mahindi wanahaha hawajui cha kufanya. Wanavuna miezi hii lakini bei ni mbaya sana kulingana gharama za uzalishaji.
Kwa wakulima wa pale Mbeya Farm price ni sh 150/=kwa kilo au kwa kipimo wanachokiamini Wao (plastic ya 20 litres) ni she 3000/= shambani kwake
Kwa wakulima wa pale Mbeya Farm price ni sh 150/=kwa kilo au kwa kipimo wanachokiamini Wao (plastic ya 20 litres) ni she 3000/= shambani kwake