Kulinda afya, mtu inafaa afanye tendo la ndoa mara ngapi kwa mwezi?

Kulinda afya, mtu inafaa afanye tendo la ndoa mara ngapi kwa mwezi?

SEGUZO

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
280
Reaction score
198
Wakuu nimeona mimi binafsi yangu nikimaliza kufanya tendo la ndoa presha yangu inapanda, na nikifululiza kuhondomola uzito wa mwili wangu unapungua, sasa ni nauliza kama kuna kiwango fulani kiafya kilicho wekwa, muniambie ili na mimi pamoja na wengine wenye tatizo kama la kwangu tujue.
 
Wakuu nimeona mimi binafsi yangu nikimaliza kufanya tendo la ndoa presha yangu inapanda, na nikifululiza kuhondomola uzito wa mwili wangu unapungua, sasa ni nauliza kama kuna kiwango fulani kiafya kilicho wekwa, muniambie ili na mimi pamoja na wengine wenye tatizo kama la kwangu tujue.
me sifahamu ata nakaaga ata miezi sita sijaduu
 
Inategemeana na kazi unazofanya including aina ya vyakula unavyokula sana. Mapenzi ni mahusiano ya akili na mwili sasa mazingira pia lazima yakushawishi. In short hii mada ni pana ujue hata mkeo anaweza kuwa motisha ya kukufanya utamani tendo hilo kila wakati. Sasa imagine mkeo ni mchafu, yuko bize muda wote, mkali na mengineyo.
 
Sidhani kwamba kuna formula ya watu wote! Kila MTU na nguvu zake
 
Mkuu umeoa ?.Ukifanya tendo la ndoa kamwe huwezi kupata uchomvu wowote.Ila kama unafanya ngono lazima utapata tatizo kiakil na kimawazo
 
Una mbio za sakafuni... Usitafute mashindano kama unajua afya yako tete..
 
Mi mke wangu anajua shughuli haina ratiba maalum, ni namna miili inavovutika
 
Inategemeana na kazi unazofanya including aina ya vyakula unavyokula sana. Mapenzi ni mahusiano ya akili na mwili sasa mazingira pia lazima yakushawishi. In short hii mada ni pana ujue hata mkeo anaweza kuwa motisha ya kukufanya utamani tendo hilo kila wakati. Sasa imagine mkeo ni mchafu, yuko bize muda wote, mkali na mengineyo.

True aisee
 
Kulinda afya inabidi mtu afanye tendo la ndoa na mkewe halali na sio mwanafunzi.

Pia kutumia kinga kila napochepuka ni muhimu
 
Mkuu nitajaribu kufuata formula yako
 
Ebu jaribu kutumia hii formula hapa chini. Itakusaidia kujua ufanye mara ngapi.
[sin(20) + cos(20) - X]^2 = X^2 + 1
sin(20)^2 + 2sin(20)cos(20) + 2cos(20)^2 - 2sin(20)X - cos(20)X + X^2
= X^2 + 1
1 + 2sin(20)cos(20) - 2sin(20)X - 2cos(20)X + X^2
= X^2 + 1
2sin(20)cos(20) - 2sin(20)X - 2cos(20)X = 0
X = sin(20)cos(20)/[sin(20 + cos(20)] ≈
 
Back
Top Bottom