kenny mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 17, 2021
- 316
- 848
NomaUkishakuwa unapenda hela kuliko mwanamke hii ndio kama mimi nachagua hela kabla ya mwanamke.
Pamoja sana kaka[emoji120]Mkuu uko kama mimi, achana na hao wanawake tutafute hela. Wanawake hawakusadii chochote zaidi na kukupa uchi, na huo uchi ukiuhitaji lazima utumie pesa. Tutafute hela mkuu.
MKuu hao wazuri umethibitisha wewe na nani?,na Hiyo sehemu zinapongia pisi Kali tu ni ipi?
Labda atakuwa anafanya kazi saluni ya kike.MKuu hao wazuri umethibitisha wewe na nani?,na Hiyo sehemu zinapongia pisi Kali tu ni ipi?
Labda atakuwa anafanya kazi saluni ya kike.
Hofu yangu kwake ni moja tu! Asije akawaona hao wanawake ni wa kawaida, halafu wanaume ndiyo akaanza kuwaona ni maana. Tutampoteza mapema sana.
shida ni ada au kitu gani? wenzako wamefungua shule j'tatu.Wakuu kutokana na shughuli zangu nimekuwa nikikuta na kila aina ya wanawake wazuri kiasi cha sasa kila mwanamke hata awe mzuri kiasi gani namuona wa kawaida sana sijaona mwanwmke wa kunitetemesha kiasi cha sasa wanawake wazuri wengi nawaona kama washikaji tu.
Wakuu natamani nitoke kwenye hii hali maana naona kama nawadharau sana mademu kuna demu mmoja mpangaji mpya ni mzuri sana ila mimi namdharau namuona kawaida sasa hii hali demu imeuuma ukizingatia wengi wanamshobokea sana ila mimi anaona sina shobo nae hadi anajiuliza sana maswali.
Hizo pengo za huyo mdada khaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shoga nn
Msafisha kucha saloon huyo,Kesha yazowea mapaja ya Wanawake hadi hamu imekataa!!Labda atakuwa anafanya kazi saluni ya kike.
Hofu yangu kwake ni moja tu! Asije akawaona hao wanawake ni wa kawaida, halafu wanaume ndiyo akaanza kuwaona ni maana. Tutampoteza mapema sana.