Kulipa fadhila kunamkondesha

ukianzisha mahusiano usijenge mawazo ya kutendwa. Ukiwazia hayo mambo utajikuta wewe ndio unaanza usaliti.
Mtu akishang'atwa na nyoka ndugu yangu..........na wengi walio na wasiwasi wamewahi kutendwa...
Ila nimekuelewa mwalimu!!
 
Mtu akishang'atwa na nyoka ndugu yangu..........na wengi walio na wasiwasi wamewahi kutendwa...
Ila nimekuelewa mwalimu!!

wasiwasi huligawanya penzi. Ahsante kwa kunielewa student.
 
Hii comment ya Shantel nimeikuta kwenye thread moja humu MMU...Inaweza kuwa na msaada..

"Tatizo hatujui umuhimu wa kuwa na mtu aliyekupenda yeye kwanza hatujui kwamba aliyekupenda kwanza ndiye unaweza ishi nae kwa amani kuliko uliyempenda wewe kwanza, atakuwa na jeuri fulani hv"

 

sikubaliani nayo.
 
Kumbe alitegemea kuvuna machungwa wakati alipanda ngogwe? Natamani niwafahamu hao wanaume wote nitoboe hii siri na awakose wote, na wa tatu naye ampitie hivyohivyo....!
 
Huyo rafiki yako ni Malaya tu, anajuaje huyo aliyempata sasa kama anamapenzi ya kweli?
 
Wewe umemshauri vipi???
nilimwambia kosa alishafanya la kuwa na mahusiano mengine hivyo amwabie tu ukweli uyo mtu ila asije kuingia katiaka ndoa ambayo hatakuwa na furaha nayo
 

Na wewe ulivyopevuka akili ulitosa mtu nini?
Manake, mhh!
 
nilimwambia kosa alishafanya la kuwa na mahusiano mengine hivyo amwabie tu ukweli uyo mtu ila asije kuingia katiaka ndoa ambayo hatakuwa na furaha nayo

nadhani uko sahihi
 


Sikiza dada Husninyo hizo zinakua ni akili za kitoto,
Ndo maana binti akishakua anachagua ninani wa kuishi na yy
Mbona stori kibao tu zipo m2 anachumbiwa na mwanaume ambae hampendi ili kuwalizisha wazazi anaamua aolewe lkn kinachofata kwenye ndoa jamaa mwenyewe anajuta cz alifosi.
na swala la kusomesha yy huyo kaka alikuwa ni mpnz wake, ingekua ajabu kama mpenzi anauwezo alafu anashindwa kumsaidia mwenzie
Wanaume walio wengi siku hizi wanasaidia wa2 ili baadae wapate pa kusemea.
siyo vzr moyo ukikataa umekataa na sio vzr kufosi mapenzi tena namshauri huyo dada amwambie tu jamaa kifuatacho.
 
ndani ya miezi sita huyo dada lazima ajute alichomfanyia mwenzie sio sahihi, chezea mapenzi, unaweza hisi umependwa kumbe unatapeliwa tu
 
Haya nimeyaona kwa msichana mmoja ambaye anafanya kazi saluni
Fulani Pale Buguruni Jina (.....) alikuwa na mpenzi wake lakini alibadilika
akampenda jamaa mmoja ambaye alikuwa anasoma DIT, Mwaka huu
ni kama wiki mbili au tatu zimepita ndio huyu dada kagundua kuwa
kumbe yule jamaa ana familia huko kwao Iringa................ Penzi limekufa
kwani ndugu wa mwanaume washamweleza ukweli huyu dada kuwa jamaa
kawaambia hataki wawe na uhusiano nae wa karibu tena kwani ile ilikuwa
ni dharura wakati yuko mbali na mkewe.
 
Asahau kuolewa. Mtu mpya atakuja kusepa in future. What goes around comes around!


 
Kuna binti mmoja aliwahi kunigeuza stationary huwa nikikumbuka sina hamu ya kumsaidia mwanamke yeyote before ndoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…