Kulipa mahari ni zawadi au udhalilishaji wa mwanamke?

huu ni utamaduni ...mm bado siukubali huu utamaduni...why?????...bcoz hii huwa inampa mwanaume sauti ya kuamini yeye ni mmiliki wa mwanamke kitu ambacho husababisha mwanaume kumdhalilisha mwanawake...namkmbuka Lenkule wa kwenye "the lion and jewel"...
 
Hata utamaduni wa kukeketa wanawake upo tangu enzi kwenye zile jamii wanazokeketa.
Je huo utamaduni wa kukeketa usipigwe vita kwa sababu upo tangu enzi za zamani.

Think big.
TOFAUTISHA SASA MAHARI NA KUKEKETA VITU VIWILI TOFAUTI.......UNAANGALIA IPI INA ATHARI KUBWA UNAIPOTEZEA
 
Kimaumbile, Mwanamke kaumbwa kwa ajili ya Mwanaume na Mungu ndie aliyetaka hiyo mahali itolewe kwa mwanamke pindi unapomuhitaji.
Historia inasema Adam alipomuona Hawa alitaka kumvamia ila Mungu akamzuia na kumuambia kwanza atoe mahali kwa Hawa. Kwa hiyo mahali ni haki kupewa mwanamke tangu kuumbwa kwetu kwa lugha nyingine tunasema ni Wajibu sisi wanaume kutoa Mahali kwa Mwanamke unaehitaji kumuoa ila siku hizi wanawake wakishirikiana na wazazi au walezi wao wamefanya ni Dili la kutupiga sisi wanaume
 
Mkuu asante kwa hoja ila sijaona huo mstari ktk bible
 
Mkuu asante kwa hoja ila sijaona huo mstari ktk bible
Sasa wewe suala la kulipa Mahali umelitoa wapi km Bible haikuandika, kwetu sisi Waislaam kitabu chetu kinatuambia tutoe Mahali pindi tunapowataka wanawake.
 
Udhalilishaji huo vipiii unataka kuoa binti wa watu lipa mahari hakuna cha bure
Sasa wewe ndo pumbafu!![emoji23] [emoji23] [emoji23] kuoa kwa mahali ndo udhalilishaji yaani wewe una kuwa unauzwa kwa million mbili na wewe unachekelea tu
 
Imeandikwa wapi na Mimi nikasome
 
Utoaji wa mahari ni tamaduni za kale na kipagani na zilishapitwa na wakati, hao wazazi hawamjui Mungu kama ulivyosema ya kwamba ni wacha Mungu siyo kweli hao ni wapagani tu sema wamejificha kwenye mwamvuri wa dini
Kwahiyo waki na Isaka, Yakobo, Yusufu, Daudi, Samsoni walivyo toaga mahari, walikua wapagani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…