ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
Nimekua nikitaka kununua mashine kwa ajili ya kilimo toka China kwenye mtandao wa Alibaba lakini makampuni yote niliyo wasiliana nayo wanapokea malipo kwa T/T pekee. Hawataki kutumia PayPal au secure payment (zamani escrow) ya Alibaba.
Hii ime niogopesha kwa sababu nikilipia kwa T/T nakosa buyer's protection kwa pesa yangu. Ushauri tafadhali kama umewahi kukutana na changamoto kama hii. Shukraan
Hii ime niogopesha kwa sababu nikilipia kwa T/T nakosa buyer's protection kwa pesa yangu. Ushauri tafadhali kama umewahi kukutana na changamoto kama hii. Shukraan