SAUL
Member
- Apr 20, 2013
- 26
- 2
wadau miaka ya nyuma kidogo serikali ilifuta kulipia leseni za biashara ndogo chini ya milioni saba kila mwaka .baada ya bajeti hii huku kilosa afisa biashara ametangaza leseni ndogo zisizo na mwisho .zimekwisha muda wake.zilipwe upya kwa mwenye uzoefu haya mambo nikweli?naombeni mnijuze