Usipoajiriwa maana yake mkeka umechanikaSas nikisoma alafu nisiajiliwe ????π
I find this amusing!!Unashangaaa nini sasa ???π
tafuta uzi umeandikwa Shikamoo kilimoMkuu, haya mashamba ya mkonge hujayaona Iringa? Yale majaruba ya kulima mpunga ya Mbeya hujayaona?
Vipi kuhusu kupanda miti ukasubiri miaka 20 uvune mamilioni hujasikia?
me mwenyewe mkuu wamenileftisha group la futari NanjilinjiSijapata kaka , wapi naeza pata ?
Hizo nazo story za akina Lomolomo tu .Mkuu, haya mashamba ya mkonge hujayaona Iringa? Yale majaruba ya kulima mpunga ya Mbeya hujayaona?
Vipi kuhusu kupanda miti ukasubiri miaka 20 uvune mamilioni hujasikia?