Kwahiyo veta ndio kuna elimu sahihi.
Usome ili uelimikeKumbe ajira hamna!!!!ππ
Sasa kwanini tusome ????
Tukisoma na ada ikipotea !!!!π
Nasoma namuogopa nani ???
Tutasoma ili kuondoa Ujinga wa Kuamini Ajira hakunaKumbe ajira hamna!!!!ππ
Sasa kwanini tusome ????
Tukisoma na ada ikipotea !!!!π
Nasoma namuogopa nani ???
Mkuu kupanda miti ni uwekezaji wa muda mrefuHizo nazo story za akina Lomolomo tu .
Hivi wewe unapanda mti ati usubirie baada ya 20y's ndo uje uendeleee pekeyake are you kidding???
Unatakiwa multi - businessmanNikiwekeza 20yrs alafu nitakuwa nakula nini ???
Kazi zipo Nyingi sana mkuu, kupasua mawe mliman, kuuza madafu, kuchoma mahindi na n.k..π πKazi gani ya Human trafficking???π