Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Uuuuwiiii wanyooshweeee
Wapigweee wapigweee

Watu wamelia sanaaa watu wameteswa Sana
Watu wamepigwa misumari kichwan miguuni
Watu wamekatwa masikio
Watu wametupwa baharin
Uuuuwiiii uuuuwiiii

Mateso mateso mateso mateso

Mungu Mungu Mungu tushukuru kwa kusikia kilio chetu
Asante baba
 
Wakumshati Jiwe angetokea wap?
 
....Mungu yuko kazini.... ni maneno ya Sabaya akipanda karandinga kwenda celo
 
Huu ni ushuzi umeandika.......
 
He was an engineer of almost all evils
Nina hakika hata Kama asinge fariki, na miaka ikapita bado siku moja angetokea mtawala anaye chukia maovu , Ange mburuta korokroni tu. Huyu mzee akishirikiana na genge lake la uhalifu wali watendea watu wengi ukatili usio vumilika kabisa.
 

Unaota. Sasa makamu Wake si yupo. Mpeleke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…