Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Maweee!! sheria ya kupiga saluti ikoje? eti wajeda ndo mnavyo fanya kweli!hawa watu wasiopitia jkt shida sanaBashite Malyamungu mtesaji na muuaji mkuu. Dogo alikuwa anawajambisha kuanzia wabunge, mawaziri, PM, VP, DGTISS, IGP na utopolo wote.
View attachment 1979179
hakana ujanja wowote!! sasa kule ndo akajafa kabisaa!! adhabu imeongezeka make kana ulizwa kwa nini umekufa hakana jibu mpaka wkt naingia mtamboni, kalikuwa kimya!Au kale kazee kaliishtuka kakaona isiwe tabu kakameza sumu? Kale kajamaa kalikuwa kajanja kama sungura
What english is this?He is trying to neutralize his Guiltness
Kwan mwendazake alikuwa na kesi ya uhalifu wa kivita..!?Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Mahakama ya Mungu iliingilia katiKwan mwendazake alikuwa na kesi.
Labda tu nikukumbushe kule Kenya machafuko yaliua watu karibu 200, kina Kenyata walichomoka huko ICC.
Wewe na ushamba unafikiri ni rahisi kwa Mwendazake kufungwa wakati hata kesi yenyewe hakuna. Inawezekana hata hujui ICC wanadeal na kesi gan
ichingereza chibhitotanzilaWhat english is this?
Ushahidi na utetezi wa Sabaya chini ya kiapo Mahakamani ni kielelezo cha wazi kabisaHe was an engineer of almost all evils
Mahakama ya MUNGU ni mbinguni. Kwani unavojua wewe JPM asingefanya hayo unayoamin alikosea alipangiwa kuishi miaka mingapi?Mahakama ya Mungu iliingilia kati
Chuki za kisiasa ndio zimemuondoa Duniani. Mungu hapendi mashetani kama yeye. Mwenzake aliyebaki hai sasa hivi anajuta Huko Gerezani.Mahakama ya MUNGU ni mbinguni. Kwani unavojua wewe JPM asingefanya hayo unayoamin alikosea alipangiwa kuishi miaka mingapi?
Hapa duniani hakuna mwenye mamlaka au uwezo wa kujua kwa nini MUNGU ametaka fulani afe. Acheni kutumia Dini vby.
Unaweza kusema kwa nini Yesu alikufa akiwa na miaka 33 au. Muhamad kuishi 63 yrs.
Hebu tuambie kwenye familia yako waliokufa Watoto Wachanga, Vijana, Watu Wazima na Wazee kabla ya kuitwa Vikongwe walikosea nn wakahukumiwa na MUNGU kufa?
CHUKI ZA KISIASA ZIMETUFANYA TUWE WAJINGA SANA
Kama hujui dini kaa kimya. Hata huyo shetan ambaye unaamini mungu anamchukia, mbona bado angali hai.Chuki za kisiasa ndio zimemuondoa Duniani. Mungu hapendi mashetani kama yeye. Mwenzake aliyebaki hai sasa hivi anajuta Huko Gerezani.
Usicheze na Mungu wewe. Hatimae Bwana akasikiliza maombi yetu.Kama hujui dini kaa kimya. Hata huyo shetan ambaye unaamini mungu anamchukia, mbona bado angali hai.
na atakuwepo mpaka
kiama?
Kama una uelewa jenga hoja zenye nguvu na sio kutumia nguvu kujenga hoja
Na wale Ndugu zako waliokufa Mungu aliwaua baada ya kusikiliza MAOMBI ya nani.Usicheze na Mungu wewe. Hatimae Bwana akasikiliza maombi yetu.
AiseeeMungu ni mwema sana sana tena TZ ilikuwa ina geuka North Korea jamaa alijifanya Mungu mtu ati
Hayo utajua mwenyeweNa wale Ndugu zako waliokufa Mungu aliwaua baada ya kusikiliza MAOMBI ya nani.
Na kama Watu WASINGEOMBA Mungu awaue NDUGU ZAKO wangeishi miaka mingapi?
WE JAMAA KUMBE MWEPESI SANA
mawingu wameanza...subiri kiamaNasikia anapigia simu kila mtu kujaribu Lobbying.
Hana raha kabisa.
Endelea kuota mkuu!!Ukitazama mienendo ya wateule wake na watendaji wengine waliokuwa chini yake hasa ktk nyanja ya kuvunja haki za binadamu yakiwemo matendonya kuteka watu nyara, kupora, kubaka, kubambikia watu kesi kubwakubwa, uhujumu uchumi, wizi wa mali na mateso memgine huku ukiwahoji wanadai ni maagizo kutoka juu.
Asilimia kubwa inaonesha kama ICC wangepokea Mashtaka dhdi yake Hayati Magufuli kwa ukatili uliofanyika wakati wa uchaguzi 2020 na matukio mengine saa hizi angekuwa analia na kusaga meno Mikononi mwa Gereza la kimataifa.
Ushahidi umetimia kwa Sabaya.
Hawajaondolewa uzalendo na magoti yao bado yamejaa majiMaweee!! sheria ya kupiga saluti ikoje? eti wajeda ndo mnavyo fanya kweli!hawa watu wasiopitia jkt shida sana
Hukumu aliyopata ni kubwa kuliko ya huko GuantanamoKwan mwendazake alikuwa na kesi ya uhalifu wa kivita..!?
Labda tu nikukumbushe kule Kenya machafuko yaliua watu karibu 2000, kina Kenyata walichomoka huko ICC.
Wewe na ushamba unafikiri ni rahisi kwa Mwendazake kufungwa wakati hata kesi yenyewe hakuna. Inawezekana hata hujui ICC wanadeal na kesi gan. Kesi ya ujambazi wa kutumia silaha ndio ushahidi eti mwendazake angefungwa..!!?
Mahakama ya Mungu hakuna rushwaMahakama ya Mungu iliingilia kati