Kumbe Aliponea Chupuchupu: Kama Kesi ingepokelewa ICC saa hizi Magufuli angekuwa jela

Hukumu ya Mungu tayari hiyo imeishaaaa
 
Kama hujui dini kaa kimya. Hata huyo shetan ambaye unaamini mungu anamchukia, mbona bado angali hai.
na atakuwepo mpaka
kiama?
Kama una uelewa jenga hoja zenye nguvu na sio kutumia nguvu kujenga hoja
Hutaki kajinyonge
 
Sasa kama alikuwa hai mkashindwa kumfanya chochote, zaidi zaidi mkawa mnakimbia kimbia na kulialia huku na kule..

Kupambana naye akiwa amekufa ni dalili za watu waoga au wale mbwa koko wanaobweka bweka hovyo bila sababu huku wamekunja mkia.....ni bora mkae kimya na kuendelea na mambo mengine, kuendelea kumtajataja huyo jamaa ni dalili za kumkubali kwenye nafsu zenu bila ya wenyewe kujua...
 
Kuendelea kumtajamtaja JPM ni kumzidishia umaarufu aliokuwa nao maradufu yule mwamba...hizi kelele zenu zinamfanya awe maarufu na kuwafanya watu waendelee kuwa na fikra zake au kuzitukuza fikra zake...

Ukweli ambao mtabishana nao sana, binafsi nimefanya research kubwa sana mtaani na kugundua huyu mwamba kweli watu walimpenda na ameacha alama kwao na amekuwa kama SI UNIT kwenye mambo meeengi kwa raia huko mtaani....Nimebahatika kuvuka nchi kadhaa za jirani tangu kifo cha huyu mwamba, ukweli watu wengi nchi jirani walimuelewa sana...

Ukweli mwingine ambao vibaraka lazima muufahamu na mnajidhalaurisha saaana mbele ya hawa mabwana zenu....Hao mabeberu hata huko Belgium wakijifungia wenyewe wanawadharau sana kwa kumpinga yule bwana na kwenda kutafuta msaada kwao maana hata wao wanaamini philosophy za yule mwamba zilikuwa muarobaini wa mambo meengi....

Nilitofautiana baadhi ya mitazamo lakini yule Mwamba alitufaa sana kwenye baadhi ta mitazamo..

RIP JPM , tumuache apumzike tuyaenzi na kushaishi mazuri yake na mengine tumuachie Muumba mbingu na ardhi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…