Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Vibogoyo wengi ndio hutumia hilo neno.huu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu
mafisadi hayana rangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibogoyo wengi ndio hutumia hilo neno.huu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu
Mnagombania nae mwanaume?Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.
Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
![]()
Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
![]()
Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.
Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
alafu kuna mtu alikuwa ananiandikia msg anautumia mi nikajua anakosea kumbe ndo upuuzi wao mpya.huu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu
Mkuu umenichekesha sanaalafu kuna punda alikuwa ananiandikia msg anautumia mi nkajua anakosea kumbe ndo upuuzi wao mpya.
ngoja aje aniandikie upya nakausha mambo ya kulea upuuzi wa hivi ndo yanakuja kuwa mchicha mwiba mbeleni
kuna wakati inabidi ukae kimya mkuu, inakera mwanaume anakuandikia xaxa ...now wamekuja na upuuzi wa jomoni kama huyu mtoa post
Mwanao aualafu kuna punda alikuwa ananiandikia msg anautumia mi nkajua anakosea kumbe ndo upuuzi wao mpya.
ngoja aje aniandikie upya nakausha mambo ya kulea upuuzi wa hivi ndo yanakuja kuwa mchicha mwiba mbeleni
Wazazi wake sijui bado wapo hai mana mtoto wAo si kitu tena.Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.
Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
![]()
Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
![]()
Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.
Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
Mi nikajua huwa wanakosea nimejaribu kutaamka nimekuta nabana pua na kuweka round kubwa mdoni na kuinua miguu kidogo ila hapana bora "jamani"japo nayo kiume haijakaa poa sana labda kutegemea na mazungumzohuu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu
Na ww ni bure kabisaa kuna picha ya kuliamsha dude hapo kwA uyo bibiHiyo picha ya mwisho imeliamasha dude langu.
Sorry,mkuu naweza nikakuuliza swali ukanijibu bila ya kukwazika??Heheeeee uzuri ndani kuonyesha mamno ndaniiiii
Sijisifu kw uzuri nikaushikia bango muda ukaniendea
Najisifu kwa shughuli za kutafuta chapaaa malengo nimejiwekea
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha zenyewe zikuwapi?Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.
Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
![]()
Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
![]()
Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.
Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
Mambo ya Mange Kimambi hayohuu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu