Kumbe Amber Ruty mwenyewe ndo huyu jomoni!

Kumbe Amber Ruty mwenyewe ndo huyu jomoni!

ngafu.fijo Loh[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] huo ugoko!!pamoja na kufanya kwangu kazi za shurba naamini miguu yangu haifanani hivyo kama umaarufu kwanini asiutafute kwa njia nyengine?

sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.

Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
1aa4169ed83d37a83941e501fb57ce0b.jpg

Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
dbdefecb14906e1d3e62ad3f39f87e35.jpg

Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.

Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
Mnagombania nae mwanaume?
 
huu msamiati "Jomoni" nowadays unashika hatamu
alafu kuna mtu alikuwa ananiandikia msg anautumia mi nikajua anakosea kumbe ndo upuuzi wao mpya.

Ngoja aje aniandikie upya nakausha mambo ya kulea upuuzi wa hivi ndo yanakuja kuwa mchicha mwiba mbeleni
 
Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.

Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
1aa4169ed83d37a83941e501fb57ce0b.jpg

Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
dbdefecb14906e1d3e62ad3f39f87e35.jpg

Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.

Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
Wazazi wake sijui bado wapo hai mana mtoto wAo si kitu tena.
 
Hili neno "jomoni" linaleta ukakasi likitamkwa na mwanaume rijali
 
Kweli mjini kuna mastaa malimbukeni namba moja ndo huyu anaona fasheni kuanika hayo makalio yake nje.

Tulichelewa kukujua au ulichelewa kuja na kujua mjini? Chupi zenyewe mtumba unaokotaga Kariakoo, huo mtatoo sasa utadhani ngariba la mwendokasi.
1aa4169ed83d37a83941e501fb57ce0b.jpg

Cheki sura sasa, halafu mapicha ya uchi siku hizi hapa bongo yashakua zilipendwa na zimexpry. Nashangaa [HASHTAG]#Basata[/HASHTAG] mnachekea tu lakini ingekua Ney mngekua mshamblock kuweni makini.
dbdefecb14906e1d3e62ad3f39f87e35.jpg

Haki hiyo sweta sasa nakojoaaaaaaaaaaa
Amber Ruty unajihisi wewe ni star au tukikwambia unahisi tunakuonea wivu jomoni.

Hivi na wewe ni wa kuonewa wivu? Nakushangaa unavyodhalilisha sana na unajidhalilisha wewe na mwili wako ukidhani sifa kumbe huna lolote kuanzia unyayo mpaka vidole vya miguuni jitazame vizuri.
Picha zenyewe zikuwapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom