Mi sio wa kike wewe ntakuoa ohooo
Ahaha ahaah ahaah wewe mutu ni balaa, shikamoo
Ahh ha ha
kuna video ya ngono ya huyo bibie,ametoka mbali,ila ana lips nzuri
hiyo sijaona,wapo wawili ye na jamaaIle ambayo yupo midume mitatu au??
Mwenzio hadi yale ya kizungu siku hizii yupo kulee we sijawah kukuona hara siku moja
Nitaweza wapi wakati mimi ni la sita A Dinazarde.
Afadhali we mi nilikomea la 3 b
Pole nimekuzidi kidogo
ROBERT MICHAEL, Dinazarde mimi niliishia form two , nilifukuzwa shule baada ya kutoa siri kuwa headmaster wetu anatoka na mwanafunz wa form two, tetesi zilienea shule mpaka headmaster akazisikia, ndipo alipoita wanafunzi wote na kuuliza assemble nani aliyeeneza hizo habar, yani sikuamini wanafunzi wote walipaza sauti warumi huyo, yan nusu nizimie, bas nikaitwa ofisin,nikapewa barua ya kufukuzwa shule, ilikuwa mwaka 2004, sisahau ile siku binamu
Binamu we kizungu ulikijulia wapii,halaf umbea umeanza zamaniii duuu, ila umetuzidii wote
Lakini si uliendelea shule nyingine etii
niliendelea baada kurudia mwak shule ingine, kizungu ckijui hat bnamu, tunabangaiz tu
ROBERT
MICHAEL, Dinazarde mimi niliishia
form two , nilifukuzwa shule baada ya kutoa siri kuwa headmaster wetu
anatoka na mwanafunz wa form two, tetesi zilienea shule mpaka headmaster
akazisikia, ndipo alipoita wanafunzi wote na kuuliza assemble nani
aliyeeneza hizo habar, yani sikuamini wanafunzi wote walipaza sauti
warumi huyo, yan nusu nizimie, bas nikaitwa
ofisin,nikapewa barua ya kufukuzwa shule, ilikuwa mwaka 2004, sisahau
ile siku binamu
ni bisexual
ha ha ha warumi ukamfanyia umbea hadi headmaster we mbaya wewe lol...pole