Kumbe Angelina Jolie ni lesbian

Kumbe Angelina Jolie ni lesbian

Mbona unaenda mbali mkuu?? Wakati hapa bongo mastaa wasagani tunao kibao tu

images


Wasagaji.jpg


wasagaji+(1).jpg


USAGAJI NI JANGA LA DUNIA
 
kuna video ya ngono ya huyo bibie,ametoka mbali,ila ana lips nzuri
 
Pole nimekuzidi kidogo

ROBERT MICHAEL, Dinazarde mimi niliishia form two , nilifukuzwa shule baada ya kutoa siri kuwa headmaster wetu anatoka na mwanafunz wa form two, tetesi zilienea shule mpaka headmaster akazisikia, ndipo alipoita wanafunzi wote na kuuliza assemble nani aliyeeneza hizo habar, yani sikuamini wanafunzi wote walipaza sauti warumi huyo, yan nusu nizimie, bas nikaitwa ofisin,nikapewa barua ya kufukuzwa shule, ilikuwa mwaka 2004, sisahau ile siku binamu
 
Last edited by a moderator:
ROBERT MICHAEL, Dinazarde mimi niliishia form two , nilifukuzwa shule baada ya kutoa siri kuwa headmaster wetu anatoka na mwanafunz wa form two, tetesi zilienea shule mpaka headmaster akazisikia, ndipo alipoita wanafunzi wote na kuuliza assemble nani aliyeeneza hizo habar, yani sikuamini wanafunzi wote walipaza sauti warumi huyo, yan nusu nizimie, bas nikaitwa ofisin,nikapewa barua ya kufukuzwa shule, ilikuwa mwaka 2004, sisahau ile siku binamu

Binamu we kizungu ulikijulia wapii,halaf umbea umeanza zamaniii duuu, ila umetuzidii wote
Lakini si uliendelea shule nyingine etii
 
Last edited by a moderator:
Binamu we kizungu ulikijulia wapii,halaf umbea umeanza zamaniii duuu, ila umetuzidii wote
Lakini si uliendelea shule nyingine etii

niliendelea baada kurudia mwak shule ingine, kizungu ckijui hat bnamu, tunabangaiz tu
 
ha ha ha warumi ukamfanyia umbea hadi headmaster we mbaya wewe lol...pole
 
ROBERT
MICHAEL
, Dinazarde mimi niliishia
form two , nilifukuzwa shule baada ya kutoa siri kuwa headmaster wetu
anatoka na mwanafunz wa form two, tetesi zilienea shule mpaka headmaster
akazisikia, ndipo alipoita wanafunzi wote na kuuliza assemble nani
aliyeeneza hizo habar, yani sikuamini wanafunzi wote walipaza sauti
warumi huyo, yan nusu nizimie, bas nikaitwa
ofisin,nikapewa barua ya kufukuzwa shule, ilikuwa mwaka 2004, sisahau
ile siku binamu

Pole sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom