Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Nilikuwa sijui kama bangi ina ladha tofauti tofauti, sasa jana kuna muuzaji mmoja wa Bangi huko Marekani kanipa kazi ya kumwandikia review za species 100 za bangi ambazo alinipa majina yake, ili aweze kuuza Amazon na kwingineko.
Hivyo nikaingia chimbo kabla ya kuanza kuandika hiyo review.
Nikashangaa, kwanza zimegawanya katika indica, kuna hybrid halafu kuna sativa
Halafu zinazalishwa kwa cross breeding.
Kuna bangi mfano 9 lb Hammer, ina ladha ya mchanganyiko wa zabibu, limao, apple, na udogo pamoja na sukari.
Kuna nyingine ina ladha ya apple cider, na nanasi
Na kila moja inafaida yake.
Kuna inayotibu matatizo ya usingizi kama insomnia, pamoja na depression.
Nyingine inatibu matatizo ya misuri na hasira.
Tahadhari msivute bangi siyo jambo zuri kutokana na sheria ya Tanzania...
Hivyo nikaingia chimbo kabla ya kuanza kuandika hiyo review.
Nikashangaa, kwanza zimegawanya katika indica, kuna hybrid halafu kuna sativa
Halafu zinazalishwa kwa cross breeding.
Kuna bangi mfano 9 lb Hammer, ina ladha ya mchanganyiko wa zabibu, limao, apple, na udogo pamoja na sukari.
Kuna nyingine ina ladha ya apple cider, na nanasi
Na kila moja inafaida yake.
Kuna inayotibu matatizo ya usingizi kama insomnia, pamoja na depression.
Nyingine inatibu matatizo ya misuri na hasira.
Tahadhari msivute bangi siyo jambo zuri kutokana na sheria ya Tanzania...