Biashara ni nzuri, lakn sio nzuri kwa wakurupukaji.
Halafu Mkuu hasara kwa biashara is part of the game..
Watu wengi tunakosea sana kufunga biashara kwa sabb ya mtiririko wa hasara unazopata unapoanza biashara...
Kila biashara ina timeframe yake ya kupata faida.. Mfano biashara ya vitumbua na biashara ya magari totally differ in timeframe.
Unapoanza biashara yeyote its crucial to determine your timeframe maana inakusaidia kujua unatoka wapi na itakuchukua muda gani kufika unakoelekea. Njia zipi utumie kupunguza umbali wa safari ili ufike haraka..! It boost your persistence.
To keep it Practical, Kaangalie historia ya kampuni ya Amazon ambayo ilitengeza faida yake ya kwanza baada ya miaka zaidi ya mitano ya hasara... Jiulize kwann hawakufunga mwaka wa kwanza au watatu? Basically they knew their timeframe.