Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Mtanzania Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2024
Posts
341
Reaction score
319
IMG-20240930-WA0155.jpg
==
Tofauti sana na Watanzania wengi wanavyofikiria kuwa Hayati Mwl JK. Nyerere hakuihitaji Sekta binafsi PPP, Haya mawazo si ya kweli,

Ukweli wa wazi MwL JK. Nyerere aliamini zaidi kwenye Sekta binafsi kuwa ni ndio msingi pekee wa kuchochea na kuleta mitaji, Ujuzi na Teknolojia na zaidi sana kuchochea ufanisi katika usimamizi na uendeshaji wa Serikali yake.

Leo, jambo j ema ni kuwa chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi wake David Kafulila ikiwa ni zaidi ya miaka sitini ( 60 ) imepita hatimaye mawazo ya Mzee huyu yanaingia kwenye utekelezwaji rasmi, Lazima Rais Samia apongezwe kwa hili.

Kwa wale msiofahamu, moja ya jambo ambalo Mzee huyu alilikiri hadharani tena Waziwazi ni makosa ya kupoka Mali za Sekta binafsi kama vile Mashamba ya mkonge, Pamba, Kahawa na kuyarudisha Serikalini, hili lilikuwa ni kosa kubwa la kiufundi mtakumbuka kabla ya hiki Tanzania tulikuwa ndio vinara wa uzalishaji Mkonge duniani leo majibu sote tunayo.

Swala jingine ambalo Mzee alijutia baada ya kung'atuka madarakani ni kuufanya ushirika uendeshwe na Serikali badala ya kujiendesha wenyewe kama Sekta binafsi nadhani madhara haya hata leo bado yanaonekana japo tunayo nafasi ya kurekebisha.

Wakati flani nikimkumbuka Hayati Mwl JK Nyerere, nikikumbuka maono yake hasa haya ya Ubia huwa napata faraja sana ninapomwona Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akipita mulemule na hii ni baada ya miaka 60 kupita.

Hoja fikirishi zaidi kwa wasomaji wangu ni hii, "Kama Muasisi wa Taifa hili hakuwa na Wasiwasi juu ya hii PPP wewe unayesema PPP ni mbaya unalegacy gani kwenye hili Taifa?








===
 
View attachment 3169359

Tofauti sana na watu wengi walivyofikiri kuwa Hayati Mwl JK. Nyerere hakutaka sekta binafsi PPP, Hii si kweli,

Ukweli wa wazi MwL JK. Nyerere aliamini zaidi katika sekta binafsi kuwa ni ndio msingi pekee wa kuleta mtaji na zaidi sana kuchochea ufanisi katika usimamizi na uendeshaji wa Serikali yake Leo ni zaidi ya miaka sitini (60) imepita mawazo ya Mzee huyu yanaingia katika utekelezwaji rasmi.

Kwa msiofahamu moja ya jambo ambalo Mzee huyu alilikiri hadharani tena Waziwazi kufanya makosa katika awamu yake ni kupoka Mali za sekta binafsi kama Mashamba ya mkonge, Pamba, Kahawa kutoka sekta binafsi na kuyarudisha Serikalini, hili lilikuwa ni kosa kubwa la kiufundi mtakumbuka kabla ya hiki Tanzania tulikuwa ndio vinara wa Mkonge duniani leo majibu sote tunayo.

Swala jingine ambalo Mzee alijutia baada ya kung'atuka madarakani ni kuufanya ushirika uendeshwe na Serikali badala ya kujiendesha wenyewe kama sekta binafsi nadhani madhara haya hata Leo bado yanaonekana.

Wakati flani nikimkumbuka Hayati Mwl JK Nyerere, nikikumbuka maono yake hasa haya ya Ubia huwa napata faraja sana ninapomwona Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akipita mulemule na hii ni baada ya miaka 60 kupita Leo hakika hakuna kama Samia.

Hoja fikirishi zaidi kwa wasomaji wangu, "Kama Muasisi wa Taifa hili hakuwa na Wasiwasi juu ya wahindi wala Wapemba au Wawekezaji wengine wowote wazawa wa Ubia nyie wengine hofu yenu mnaitoa wapi juu ya hii PPP kama sio kutuchelewesha kama Taifa?"
Kidogooooo
 
View attachment 3169359

Tofauti sana na watu wengi walivyofikiri kuwa Hayati Mwl JK. Nyerere hakutaka sekta binafsi PPP, Hii si kweli,

Ukweli wa wazi MwL JK. Nyerere aliamini zaidi katika sekta binafsi kuwa ni ndio msingi pekee wa kuleta mtaji na zaidi sana kuchochea ufanisi katika usimamizi na uendeshaji wa Serikali yake Leo ni zaidi ya miaka sitini (60) imepita mawazo ya Mzee huyu yanaingia katika utekelezwaji rasmi.

Kwa msiofahamu moja ya jambo ambalo Mzee huyu alilikiri hadharani tena Waziwazi kufanya makosa katika awamu yake ni kupoka Mali za sekta binafsi kama Mashamba ya mkonge, Pamba, Kahawa kutoka sekta binafsi na kuyarudisha Serikalini, hili lilikuwa ni kosa kubwa la kiufundi mtakumbuka kabla ya hiki Tanzania tulikuwa ndio vinara wa Mkonge duniani leo majibu sote tunayo.

Swala jingine ambalo Mzee alijutia baada ya kung'atuka madarakani ni kuufanya ushirika uendeshwe na Serikali badala ya kujiendesha wenyewe kama sekta binafsi nadhani madhara haya hata Leo bado yanaonekana.

Wakati flani nikimkumbuka Hayati Mwl JK Nyerere, nikikumbuka maono yake hasa haya ya Ubia huwa napata faraja sana ninapomwona Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akipita mulemule na hii ni baada ya miaka 60 kupita Leo hakika hakuna kama Samia.

Hoja fikirishi zaidi kwa wasomaji wangu, "Kama Muasisi wa Taifa hili hakuwa na Wasiwasi juu ya wahindi wala Wapemba au Wawekezaji wengine wowote wazawa wa Ubia nyie wengine hofu yenu mnaitoa wapi juu ya hii PPP kama sio kutuchelewesha kama Taifa?"
Kwanini Wabara Zanzibar wananyanyaswa hasa kwenye umiliki wa Ardhi?
 
Enzi za Nyerere ubia ulikuwa wa haki pande zote tofauti na ubia unaoingiwa kipindi hiki Cha awamu ya mama Samia ambapo mwekezaji wa nje hunufaika zaidi kuliko Nchi yetu nzuri ya Tanzania.Anataka wajukuu wetu wasikute chochote
 
Shida sio PPP shida ni terms za contract zake.

Kingine ni public goods zenye faida kwa uchumi wa taifa (by way of economic access) serikali inataka wengine wawekeze kwa toll charge huko ni kudumuza uchumi

Vinginevyo kwa maelezo ya IGA strategically, offer tuliyopewa na DPW on phase 1 tu ya uwekezaji ilikuwa ni faida kwetu.

Majanga ni kwamba hakuna pilika za uwekezaji wowote wa hilo ghorofa la kuhifadhi magari kuonekana kujengwa. hakuna ushahidi wa ujenzi wa mashua, hakuna ujenzi wa dry port Kurasini, hakuna ushahidi wa ujenzi wa gate ya kutua meli za magari.

Port tushawapa na uwekezaji wenyewe wa phase one ilikuwa $500 million, sio kwamba hakuna walichofanya Iła na port yenyewe tumewapa kwa miaka 33 majanga.

Salaleh, huyu mama inabidi tumtoe
 
Back
Top Bottom