Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Nahisi,Kuna mambo mengi huyafahamu kuhusu Ubia
 
VIBARAKA WA RAIA FEKI MNASHIDA SANA NA AJENDA ZENU ZA KIFISADI PPP KWA TANZANIA NI UFISADI
 
Nahisi,Kuna mambo mengi huyafahamu kuhusu Ubia
Ungekuwa unaelewa mambo ya ubia kwa kusoma post yangu ungejua tu ninachoongea.

Uzuri zaidi hawa DPW offer yao wameiweka wazi kwenye IGA ni rahisi sana kuwatoa maana amna performance kwa maelezo ya phase ya IGA kwenye uwekezaji.

Hakuna walichofanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…