Kumbe bilionea Bakhresa na Adani Gautam kuwekeza Tanzania lilikuwa ni hitaji la Hayati Mwl. Nyerere!

Nimemsilkiliza lakini sijasikia Adani au Bakhresa wakitajwa hapo😎
 
Aelewi hata offer DPW waliyotoa kwenye IGA ya phase 1 ndio msingi wa mkataba

Only wanasheria wa serikali ya Tanzania wanaweza kushindwa kuvunja mkataba unaoelekea kuwa wa ovyo kama huu wa DPW.
πŸ™„ ndiyo nini ...ulicho andika...Hiyo dpw ni double trap wewe subiri kesi tu na tutalipishwa mamilioni ni njama baina ya mshitaki na mshitakiwa dhidi ta taifa letu
 
Adani ni mtoa rushwa anakataliwa Marekani huko watu wamemchunguza wakamuona muongo muongo mtoa rushwa tu.

Nyerere alitangaza kuichukia rushwa hadharani na akiishi simple life usimtumie kama muhuri wa kusafisha wapenda rushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…