Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
magonjwa mengi huanzishwa as bilogical weapon lakini huwarudi hata wanaoyaanzisha...kama aids, hata corona utafika wakati ukweli utajulikana.
Nani awakamate wakati wao wameshikilia dunia,kidini,kiserikali ,kijesji li uchawi nk.Hawa watu wanaotengeneza hizi silaha, HIV, corona nk. Wakusanywe na watumbukizwe kwenye kina kirefu cha bahari, wasionekane katika uso wa Dunia.
Nani awakamate wakati wao wameshikilia dunia,kidini,kiserikali ,kijesji li uchawi nk.
Utakuwa mfia dini sio bure.Hawa watu wanaotengeneza hizi silaha, HIV, corona nk. Wakusanywe na watumbukizwe kwenye kina kirefu cha bahari, wasionekane katika uso wa Dunia.
Smallpox sijui ni ugonjwa gani; hao makahaba hawakugopa kufa na hayo maradhi? Au ndio kujitoa mhanga kwa ajili ya taifa?
Unajuaje labda tayari tunaishi nayo bila kujua. Kwani si mpaka wao wanaokuletea wakwambie tumekuletea ndo unajua, tena wakikosana wao kwa wao.Biological weapons n hatar sana
Hujaeleweka au inawezekana hujaelewaUnajuaje labda tayari tunaishi nayo bila kujua. Kwani si mpaka wao wanaokuletea wakwambie tumekuletea ndo unajua, tena wakikosana wao kwa wao.